Jeshi la Polisi angalieni basi la Arusha Express linalofanya safari za Arusha - Bukoba

Naona sasa imefika wakati muafaka wa Bajaji kuruhusiwa kupiga root!
Mbeya to DSM/Return
DSM to Bukoba/Return
DSM to Mwanza/Return
 
Arusha bukoba kuna mwendo aisee 80Km kwa Saa hatutafika leo ukijumlisha matuta Vibao vya 50km lazima wakimbie nilishatoka Bukoba kuja Dar aisee jamaa alikuwa anafika mpaka 130 lakini yote na bado hakufika kwa wakati
 

Ukiona hivyo ni jamaa lenye shati ya kijani linakodolea 2025.

Mnakera sana na Mama aendelee kuyafurusha tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…