Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Tena waseme hata Moroto alikuwa kati ya waliompiga ngwala ....
 
Kimada Joyce Mukya ana nguvu kuliko hata mtoto wa kumzaa wa Mbowe.

Mke wa ndoa wa Mbowe Ni daktari Tena bingwa akaona taarifa hizo zimfikie kimada sio mkewe wa ndoa Wala mwanawe.

Maisha haya puuuui.

Pole Sana mke wa ndoa wa Mbowe
Habari nzima imenishangaza hili, yaani huyu ndio tunayempa nchi ili hali hata protocols rahisi za familia hazijui??? Dahh.
 
Seems una uchunguzi wako binafsi, fanya kuuweka tuujadili.
 
How do they prove ni uongo?

Inaonekana huo mtaa wanaoishi una population ndogo sana,,lisu alipigwa risasi mchana peupe,hakuna mtu alishuhudia,iwe hausegal,hausboi,au majirani wa eneo hilo.

Iwe saa saba usiku ndo utarajie eti watu wataona kweli?
Imekuaje mbowe kashambuliwa badala ya kwenda polisi kaenda kwa joyce mukya?
Na baada ya hapo akaenda kwenye ki hospitali kidogo kabisa
Bwana Mbowe Sijui atamueleza nini mkewe,nyumba ndogo ina nguvu kuliko mke wa ndoa
 

Rebecca naona maelezo yako, sina tatizo na unachoongea, lakini nina shaka kuwa maelezo aliyotoa Mbowe toka mwanzo yana walakini, na haya ya polisi sasa yamezidisha utata!

Hivi umejiuliza kwanini kuna maelezo marefu toka pande zote, huku ulevi ukifanywa ndio sababu hasa ya kilichotokea, lakini CCTV footage haziingii kwenye maelezo ya yoyote, sio Mbowe au kwenye hiyo ripoti ya kiuchunguzi ya awali rasmi ya polisi?
 
Ni kosa kulidanganya jeshi la polisi au hujui kuwa Ni kosa?
Ni madaktari tu ndo wanaweza juu jeraha la kupigwa na kuvunjika ama ajali,,kama alipigwa migumi,fimbo,etc madaktari ndo watatoa jibu sahii na wala sio kukisia kwamba alianguka kwenye ngazi pasipo huo ushahidi wa kuanguka,,tujaribu kutenda haki walau kidogo japokuwa ni mpinzani lakini bado ni mtu
 
TUWE N AKIBA YA MANENO, USHAHIDI WA KIDAKTARI NI MUHIMU UTHIBITISHE KAMA KWELI UKIANGUKA KWENYE NGAZI HUUMI KISOGO BALI UTAUMIA MGUU WA KULIA HADI KUFANYIWA OPERATION.

TUNASUBIRI.
 
Imekuaje mbowe kashambuliwa badala ya kwenda polisi kaenda kwa joyce mukya?
Na baada ya hapo akaenda kwenye ki hospitali kidogo kabisa
Bwana Mbowe Sijui atamueleza nini mkewe,nyumba ndogo ina nguvu kuliko mke wa ndoa

Bado najaribu kujiuliza kwanini CCTV footage zinakwepwa kwenye hili tukio. Haya mengine ni sehemu tu kuupata ukweli. Lakini ukweli halisi ni kupatikana CCTV footage, kisha kila mtu ataanza kuweka ukweli wake kuanzia hapo.
 
Imekuaje mbowe kashambuliwa badala ya kwenda polisi kaenda kwa joyce mukya?
Na baada ya hapo akaenda kwenye ki hospitali kidogo kabisa
Bwana Mbowe Sijui atamueleza nini mkewe,nyumba ndogo ina nguvu kuliko mke wa ndoa
Sasa ulitaka aende wapi kupata msaada wa kwenda hospital?,pia hakuna sheria inayomlazimisha kwenda Benjamin mkapa hospital
 
TUWE N AKIBA YA MANENO, USHAHIDI WA KIDAKTARI NI MUHIMU UTHIBITISHE KAMA KWELI UKIANGUKA KWENYE NGAZI HUUMI KISOGO BALI UTAUMIA MGUU WA KULIA HADI KUFANYIWA OPERATION.

TUNASUBIRI.
Na kama angelikuwa amelewa, asingeliita attention ya watu. Kwani kutibiwa kimya kimya ilishindikana nini? Mbona Marais wanalewa kimya kimya?
 
Kimada Joyce Mukya ana nguvu kuliko hata mtoto wa kumzaa wa Mbowe.

Mke wa ndoa wa Mbowe Ni daktari Tena bingwa akaona taarifa hizo zimfikie kimada sio mkewe wa ndoa Wala mwanawe.

Maisha haya puuuui.

Pole Sana mke wa ndoa wa Mbowe
Bado wanataka uchunguzi huru!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…