Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Utamshitaki vipi mtu aliyekuwa amelewa chakari????????????????????????????????????????????///////
 
Unasema kweli kabisa. Mchezo mchafu unachezwa kichafu vilevile. Kama wanataka kuhusisha Mbowe kuzaa na Mkuya na uongo wao, waulizwe mapenzi ya hiari ni dhambi kama kumbaka shemeji yaani Dada wa mama J hadi kumzalisha?
Tutaonana wabaya humu!
 
Vipi kuhusu dreva,,huyu ndo atatoa mwanga,maana kwa mujibu wa ripoti,mbowe alipiga kelele,dreva ndo mtu wa kwanza on scene,,hivyo itakuwa alikua hata hajaondoka pale.
 
Unadhani walishindwa kumuuguza kimya kimya bila mtu kujua kama kuna issues kama hizo? ? Nani angelijua hayo ya ulevi?
Ila wewe ni tofauti na wenzako Lumumba/Mataga, umejaribu kujenga hoja.
Ukweli ni kuwa walishindwa kulificha hilo, ukishapelekwa hospitali yoyote ni lazima uripoti polisi. Na kiongozi wa hali hiyo, na mtu tajiri kiasi hicho, hakubali kutibiwa ovyo, wanapenda kuishi muda mrefu.

Ndugu hili lilikuwa kosa, na watu wote walikuwa katika hali ya starehe, kwa hivyo wakajisahau na wakati kama huo vinywaji vinaporomoka vizuri kabisa , na bila kujijua unajikuta mtu uko chakari.
 
Hii ni aibu kwa Kiongozi mkubwa Kama Mbowe kama kuna namna tume ya maadili ya viongozi wa Umma inaweza kufanya kitu ifanye
 

Wengi wetu tunaojua ukweli wa mambo msimamo wetu uko wazi, kuwa cctv footage ndio zina ukweli wote. Sio Mbowe, sio polisi, sio mtoto wake au awaye yote.
 
Bado najaribu kujiuliza kwanini CCTV footage zinakwepwa kwenye hili tukio. Haya mengine ni sehemu tu kuupata ukweli. Lakini ukweli halisi ni kupatikana CCTV footage, kisha kila mtu ataanza kuweka ukweli wake kuanzia hapo.
Hivi wewe kusoma hujui hata picha huoni?
Hivi kwa unavyowafahamu viongozi wako wa chadema jinsi mlolongo wa hilo tukio ulivyo huoni kama kuna walakini?

Hao kina Mbowe siyo malaika, ni binadamu wanaweza kufanya lolote sasa tusiwatetee hapa
 
Na kama angelikuwa amelewa, asingeliita attention ya watu. Kwani kutibiwa kimya kimya ilishindikana nini? Mbona Marais wanalewa kimya kimya?
Mbowe ni mlevi full stop
 
You are not objective, ushindwe kuficha? Kuanguka ni kosa? Kulea ni kosa? Mbona unanipeleka kuanza kukufikiria kinyume na nilivyokuwa nakufikiria? Kosa gani alifanya? Mtu mwenye pesa ashindwe kuficha ulevi? ashindwe kuficha kuanguka/kuvunjika?
 
Moja ya vitu anajivunia Mbowe ni kuwa na watetezi viazi namna hii
 
Aibuuuuu.Mbowe mavi yako. Kweli wewe ni msaliti kwa watanzania. Mtu anaemcheat mkewe wa ndoa atashindwa vipi kuwacheat watanzania ?Ibholo lyako. [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji115][emoji115]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nisaidie kumtag bibi Sky tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…