Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Haya Sasa mambo wazi kabisa ni aibu hii kwa chadema kusema uongo sijui wataficha wapi sura zao chadema [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Hata Balozi za USA, UK, na EU walipokimbilia kutoa matamko kumbe tatizo ni ulevi na ufusika. Sasa sijui wataficha wapi sura zao. Shame on them!!
 
Kamanda umepanic Hahahahahah
 
Umesahau pia kuwa kuna vipimo vya hospitali km X-Ray za kuthibitisha aina na kiwango cha majeraha alityopata Mbowe, Kamanda Mkuu, au navyo vitafichwa?

Mkuu huko kwenye ushahidi unaotegemewa utashi wa binadamu, ukweli unaweza kupindishwa, CCTV footage zikiwekwa wazi ukweli wote utakupatikana. Hilo ni rahisi sana.
 
Jijibu ni kwamba hana access na control room ya CCTV, zile zimewekwa na maafisa hivyo wenye access ni hao hao maafisa, sio kila mtu ndiyo maana cctv za kwa lissu 'zitolewa' jiulize nani aliyeondoa hizo cctv?
Haya ya kutoa CCTV nani aliyasema?
 
Bac ukijua polisi n kati ya chama kimoja ambacho kiafanya kazi na ccm ndio utajua kwenye tukio ili maana tundu lisu ushaidi wa awali ulikuwa cjui mago go go go nili
Serikali imeingia kwenye mtego ambao haujatambua maana kamili ya kuongelea kisa kilicho mpata mboe n bora wangekausha october aya maneno wanayo yasema yatawabeba upinzani bora wapigee kazii tu wakaushe maana ccm haina hoja ya kushindana wataonekana ni wajingaa wakiongea kuhusu maisha ya mtu...

Upinzan hawana akili za kilevi hamjawaelewa tu
 
Unadhani walishindwa kumuuguza kimya kimya bila mtu kujua kama kuna issues kama hizo? ? Nani angelijua hayo ya ulevi?
Ila wewe ni tofauti na wenzako Lumumba/Mataga, umejaribu kujenga hoja.
Kimya kimya bila PF3?
Kwa nini hakuripoti polisi apewe PF3 tusaidie wewe? Mbowe Aliendaje mbio mbio mbio bila PF3 Kama taratibu zinavyotaka kwa kesi Kama hiyo ya kuvamiwa? Mbowe na hawara yake Mukya Wana Cha kujibu
 
Ningebaki kimya.

Wanasiasa wetu hawana shida kabisa....sisi tuna shida kubwa tunaowashabikia.

Hatujui kuchambua uongo au ukweli.

Labda hawa watu ninaowasoma humu kila siku wakitaka maendeleo ya kweli huwa nadhani ni familia za karibu za viongozi wa nchi(upinzani&serikali) wakiwatetea ndugu zao ili waendelee kuneemeka na wanayochuma.
 
Kimada Joyce Mukya ana nguvu kuliko hata mtoto wa kumzaa wa Mbowe.

Mke wa ndoa wa Mbowe Ni daktari Tena bingwa akaona taarifa hizo zimfikie kimada sio mkewe wa ndoa Wala mwanawe.

Maisha haya puuuui.

Pole Sana mke wa ndoa wa Mbowe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kamanda umepanic Hahahahahah

Cha kupanick ni kipi? Niko vizuri na wala sina shaka na ninachoongea.

Nje ya mada, naona ulipotea kidogo humu, au uko kitengo tofauti siku hizi? Karibu tena.
 
Mkuu huko kwenye ushahidi unaotegemewa utashi wa binadamu, ukweli unaweza kupindishwa, CCTV footage zikiwekwa wazi ukweli wote utakupatikana. Hilo ni rahisi sana.
Yaani vipimo vya hospitali navyo visiaminike? Ni suala la kuchukuliwa vipimo upya kuthibitisha, maana majeraha, km kuvunjika mguu, hayafutiki siku moja.
 
 
Wamesema mwananchi mwenye taarifa anaombwa alisaidie jeshi la polisi.

Kama una taarifa wasaidie...utatusaidia na sisi tunaotaka haki itendeke bila kujali ccm na chadema.
 
Chadema jana walijaribu kuja na ka statement eti hawana imani na uchuzi wa polisi, nadhani baada ya kugundua mwamba amewaingiza chaka

Unajua shida ni kuwa matokeo ya uchunguzi huu wa polisi umefuata talking points zote zilizokuwa zinatolewa Bungeni. Huwezi kuwalaumu Chadema kwa kutilia shaka uchunguzi wenyewe. Kutoka alikanyagwa na kupigwa mateke hadi ameteleza mwenyewe ni parefu kidogo.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…