Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Haya, endelea kuweweseka. Lini mtamsaidia Mwamba ajirekebishe?Tangu juzi tumepata nakala ya uchunguzi wa polisi ambao umeandikwa bungeni , kila mtu mwema amelidharau kabisa jeshi la polisi .
Kutokana na taarifa ya Polisi inaonesha kuwa, ama:-
√ Mbowe, hakuanguka nyumbani kwake ila kwa Joyce Nkya, hawara yake wa muda mrefu. Angeanguka nyumbani kwake James, mwanae angechukua hatua stahiki, ikiwa ni pamoja na kuamsha majirani; au
√ Alivamiwa na wahuni waliotumwa na wabaya wake Joyce Nkya, wakitoka kwenye ulevi. Yawezekana ndiyo sababu hakuwa na walinzi.
Itakuwa ile mpaka kifo kitutenganishe. Duh mama ni mvumilivu. Ndo shida msomi mzuri akaolewa na DJ zero form six. Ndo shida ya kuchaguliwa mme na familia.Huyu mwanamke ameteswa sana na Mbowe sema ndio hivyo ni mvumiluvu
Sisi hatutahangaika na jeshi ambalo viongozi wake ni wanaccm , Mahita , Zerothe Steven na Chagonja ni mifano halisi bali tukiingia madarakani taasisi ya kwanza kuifutilia mbali ni polisiHaya, endelea kuweweseka. Lini mtamsaidia Mwamba ajirekebishe?
Hajahahaha... Huu uzi mods wameutendea haki, hebu nenda pale juu kabisa page ya kwanza uone nondo walizoambatanisha.Unaandika huku unaona aibu kwa jeshi la polisi kutia aibu
Kumbe na wewe ni buku 7 !Itakuwa ile mpaka kifo kitutenganishe. Duh mama ni mvumilivu. Ndo shida msomi mzuri akaolewa na DJ zero form six. Ndo shida ya kuchaguliwa mme na familia.
Naona umechanganyikiwa kabisa! Yani ufute polisi?Sisi hatutahangaika na jeshi ambalo viongozi wake ni wanaccm , Mahita , Zerothe Steven na Chagonja ni mifano halisi bali tukiingia madarakani taasisi ya kwanza kuifutilia mbali ni polisi
Jeshi la polis ni chaka la CCM.Watoe na ya Lissu.
Kuna haja ya kulifuta jeshi la Polisi na kuanza upya
Polisi wa Tanzania wanaweza kuweka nondo !Hajahahaha... Huu uzi mods wameutendea haki, hebu nenda pale juu kabisa page ya kwanza uone nondo walizoambatanisha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtag Mmawia tafadhali, maana sijamuona hapa.
Naunga mkono hojaMuulize Nkurunziza kafa lakini wananchi wanashangilia mitaani wanapongezana.
Pombe ulimnywesha wewe? Polis wanatumika vibaya ila muda ni mwalimu mzuri.
Nyerere alipoichukua nchi hii hakusonga na askari wa kikoloniNaona umechanganyikiwa kabisa! Yani ufute polisi?
Duh... Mukya huyu Mukya huyu...
Polisi imetoa taarifa ya awali inayothibitisha Mboemwe alikuwa amelewa chakari na uchunguzi wa tukio zima unaendelea. Suala la ulevi CHAKARI ni kutokana na ripoti ya daktari aliyempokea na askari aliyemhoji. Huyo Polisi alikwenda kumhoji baada ya taarifa ya tukio kuripotiwa Polisi saa 2 baada yake.Sasa inakuwaje polisi nao wasingesema kabisa kwamba hakudondoka nyumbani kwake?
Kamanda nenda kaone hadi nyuzi za 2017 zimefukuliwa zimeambatanishwa pale juu!Polisi wa Tanzania wanaweza kuweka nondo !
Kwahiyo mtakuwa na polisi wenu?Nyerere alipoichukua nchi hii hakusonga na askari wa kikoloni
Kimya kimya bila PF3?
Kwa nini hakuripoti polisi apewe PF3 tusaidie wewe? Mbowe Aliendaje mbio mbio mbio bila PF3 Kama taratibu zinavyotaka kwa kesi Kama hiyo ya kuvamiwa? Mbowe na hawara yake Mukya Wana Cha kujibu
USIWE KAMA WAFUASI WA KIBWETELE!...SOMETIMES TUMIA UBONGO WAKOKwahiyo Mbowe kushindwa kutamka maneno sawasawa ndicho kipimo cha ulevi? Na kama alishindwa kwa kuwa alipigwa je?
Pia hicho kipimo walichotumia kumpima na kugundua kuwa alikuwa amelewa chakari ni kipi?
Nikiwaita Jeshi la wapumbavu nitakuwa nimekosea? Jibuni wenyewe kama hamustahili kuitwa "wapumbavu"
Nyie ni watu wazima hivyo ili mheshimiwe ni lazima muje na kitu kinachoeleweka.
Ulevi? Usanii? Umeuthibitishaje?Hahajha... Sawa, lakini mwambie Mbowe aache ulevi na usanii oktoba inakaribia
Itakuwa ile mpaka kifo kitutenganishe. Duh mama ni mvumilivu. Ndo shida msomi mzuri akaolewa na DJ zero form six. Ndo shida ya kuchaguliwa mme na familia.