Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Hili hustahili kuchekelea, kwahyo mtu hatakiw kulewa?
Kulewa kila mtu analewa. Ila tukiumia ulevini hatusemi uongo Wala kumsingizia mtu!! Lazima ni cheke hii ze comedy show ni shida [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
 
Lazima ataeleza. Kwani ndio matumizi ya bilioni 7
 
Inaonekana Joyce Mkuya ni mtamu sana kuliko mke wa ndoa Lilian Mbowe, maana kila janga lazima ahusishwe
Shetani kakutawala wewe na maisha yako.Piga magoti sali uweze kumrudia Mungu
 
Watetezi wa Mbowe angalia moo wangapi humu kwenye Hili hamzidi watatu !!!! Mliokomaa Tena nadhani ni wewe mwenyewe una ID tofauti Mbowe kabwagiwa Hili zigo . Chadema wamejitambua wewe ndio unatoka mijasho peke yako na wenzio wawili tu humu toka mada ianze
 
Kulewa kila mtu analewa. Ila tukiumia ulevini hatusemi uongo Wala kumsingizia mtu!! Lazima ni cheke hii ze comedy show ni shida [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Iwapo wangemjeruhi kama Lisu isingekuwa stori ya kulewa, muulize aliyesema hili akujbu la Lisu alikuwaje
 
Aya ya PILI ya Taarifa ya Misime inamtaja mtu anaeitwa JOYCE MUKYA wakati Aya ya Tatu ya taarifa hiyo hiyo inamtaja mtu anaeitwa JOYCE NKYA, so which is which wakuu
naona huu uandishi katika report ya upelelezi kama imemkazia sana Joyce ukiingia deep inajipambanua wazi kuwa ilitaka kumvua nguo mtu flaani tu!
 
We jamaa bwana!
 
Sijui ni comment nini!, eti Mbowe hivi hii taarifa ni ya kweli au uongo?.
 
"Tulikuwa na shaka kuanzia siku ya kwanza juu ya Polisi kutumika kupotosha ukweli kuhusu tukio la Mwenyekiti Freeamn Mbowe. Mashaka hayo yamedhihirika kwa kutekeleza maelekezo aliyotoa Spika Ndugai kwao Bungeni kwa kusema uongo uleule uliosemwa na CCM Bungeni," Jon Mrema

"Kama ilivyokuwa tukio la kushambuliwa Tundu Lissu "hadi tukataka wachunguzi wa kimataifa, wamerudia tena utaratibu huo wa kusema uongo. Imekuwa ni kawaida yao kuficha ukweli na kuzusha mambo kama walivyofanya kwa mauaji ya Mwanahabari Daud Mwangosi na Aqulina Aquline "Jon Mrema

"Tunalitaka jeshi la polisi lifanye majukumu yake kwa weledi na sio kujiingiza kwenye propaganda za kisiasa ambazo zitalifanya lisiaminike kwa wananchi.l," Mkurugenzi wa Uenezi, Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje
 
Wao wamefanya uchunguzi, kafanye na wew alafu uje na ushahidi kama huo wa polisi, usiendeshwe na hisia kwa ujeuri utaishia kufeli, neno zuri kwako litakuwa halina ukweli na lenye ukweli litakuwa sio zuri kama hii ripoti ya jeshi la polisi
Yeye ajibuye kabla hajajua ni upumbavu na aibu kwake.

Uchunguzi upi wamefanya? Pale kuna CCTV camera kwanini wasituoneshe kilichofanyika? Mtu aliyeanguka anasagikaje mguu pasipokuumia sehemu nyingine yoyote? Mbona Rpc wa Dodoma alithibitisha kuwa alikanyagwakanyagwa?

Usipende kutoa majibu mepesi kwenye hoja/maswali magumu.
 
Ndugu zangu polisi just simple and cleal fungueni CCTV camera ZA nyumba ya Mbowe over.

Ni jambo la aibu polisi unatoa matokeao ya uchunguzi wako alafu unasema kama kuna mtu Ana taarifa akupe ulizo toa wewe nu USHUZI?.
Ni aibu wewe mtaalamu wetu unasema tukio bado mnalichuguza unachunguza nini wakti umeisha toa taarifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…