Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Haya Sasa mambo wazi kabisa ni aibu hii kwa chadema kusema uongo sijui wataficha wapi sura zao chadema [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Hivi kweli na wewe unaona hii ni taarifa yenye hadhi ya kuitwa taarifa rasmi toka Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania? Mungu wangu! Hivi kweli tuna Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania mwenye uelewa wa namna hii? Kweli anaandika taarifa kama hii isiyo na hadhi ya kuandikwa hata na chekechea wa St. Mary's !
 
Kwa hiyo watu wasiposikia Kelele wala kukuona ukishambuliwa basi unakuwa hukushambuliwa? Hivi hakuna wahalifu wanaowaziba midomo au kuwakaba wahanga wa uhalifu? Ndio tumefika huku? Tanzania ya Jiwe ni kituko. Weledi umewekwa pembeni na kufuata matakwa ya wakubwa.
 
Hivi kweli na wewe unaona hii ni taarifa yenye hadhi ya kuitwa taarifa rasmi toka Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania? Mungu wangu! Hivi kweli tuna Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania mwenye uelewa wa namna hii? Kweli anaandika taarifa kama hii isiyo na hadhi ya kuandikwa hata na chekechea wa St. Mary's !
Duh ficha ukilaza wako unatia aibu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
 
Ni kama vile hii taarifa ameandika akikimbizwa na amesoma akikimbizwa. Taarifa inaandikwa kama vile mwandishi kagadhabishwa na kuchukizwa na kitu fulani toka kwa Mbowe.
 
Duh ficha ukilaza wako unatia aibu [emoji23][emoji1787][emoji2960]
Pole kilaza. Umeishia chekechea mwaka wa ngapi? Taarifa imejaa mihemko tu. Taarifa gani ya ukilaza kama hii. Mara useme Nkya mara Mukya, mara uchunguzi unaendelea kupata ukweli wa jambo hili, mara mwenye taarifa atuletee, mara uchunguzi wetu umebaini kwamba...... Sasa tushike lipi? Anatoa taarifa ya uchunguzi au bado wanachunguza?
 
Jeshi la Polisi Jijini Dodoma kupitia kwa Kamanda wa Polisi MUROTO limeeleza hakuna shahidi yeyote aliyesikia kelele wala kuona MBOWE akishambuliwa kama alivyodai. Mbowe alitokea kwa mzazi mwenzake JOYCE MUKYA ambae ni mbunge wa viti maalum Chadema.

Baada ya kuteguka hakumjulisha Mwanae aliyekuwa ndani anayeishi. Kabla ya kwenda Hospitali alipita kwa Mzazi mwenzake JOYCE na Hospitalini ilibainika alikuwa amelewa chakari kiasi cha kushindwa kutamka baadhi ya maneno. Siku anayodaiwa kushambuliwa alionekana katika maeneo ya starehe.

MY TAKE.
1. Chadema inapaswa kujitokeza hadharani kuomba radhi na H kwa kuwadanganya ili warudishe imani dhidi ya chama hicho

2.Tuhuma za kwamba MBOWE amekuwa akiomba rushwa ya Ngono kwa wanachama wanawake wanaotaka ubunge wa viti maalum zinaanza KUPATA MASHIKO.
Huu ni uchunguzi wako au unarejea taarifa ya hii taarifa tuliyoisoma wote? Maana taarifa tunayoisoma hapa inasema alionekana amelewa, yaani kwa macho alionekana. Ina maana hakuna uhakika. Wewe unasema alibainika amelewa. kwa wewe una ushahidi kwamba alilewa kwani vipimo vilibaini ulevi ila macho ya polisi yalihisi amelewa. Sasa tushike uchunguzi wako au wa Polisi?
 
Jeshi la Polisi Jijini Dodoma kupitia kwa Kamanda wa Polisi MUROTO limeeleza hakuna shahidi yeyote aliyesikia kelele wala kuona MBOWE akishambuliwa kama alivyodai. Mbowe alitokea kwa mzazi mwenzake JOYCE MUKYA ambae ni mbunge wa viti maalum Chadema.

Baada ya kuteguka hakumjulisha Mwanae aliyekuwa ndani anayeishi. Kabla ya kwenda Hospitali alipita kwa Mzazi mwenzake JOYCE na Hospitalini ilibainika alikuwa amelewa chakari kiasi cha kushindwa kutamka baadhi ya maneno. Siku anayodaiwa kushambuliwa alionekana katika maeneo ya starehe.

MY TAKE.
1. Chadema inapaswa kujitokeza hadharani kuomba radhi na H kwa kuwadanganya ili warudishe imani dhidi ya chama hicho

2.Tuhuma za kwamba MBOWE amekuwa akiomba rushwa ya Ngono kwa wanachama wanawake wanaotaka ubunge wa viti maalum zinaanza KUPATA MASHIKO.
Wewe unasema Joyce Mukya lakini polisi wana akina Joyce wawili ambao ni Joyce Nkya na Joyce Mukya. Nani mkweli kati ya wewe na Polisi?
 
Pole kilaza. Umeishia chekechea mwaka wa ngapi? Taarifa imejaa mihemko tu. Taarifa gani ya ukilaza kama hii. Mara useme Nkya mara Mukya, mara uchunguzi unaendelea kupata ukweli wa jambo hili, mara mwenye taarifa atuletee, mara uchunguzi wetu umebaini kwamba...... Sasa tushike lipi? Anatoa taarifa ya uchunguzi au bado wanachunguza?
Kujitoa ufahamu hakubadilishi tukio lilivyokuwa hata upingane na ripoti hakita badilika kitu, itabaki tu mbowe alilewa akateleza kwenye ngazi na kuumia kisigino
 


View attachment 1476358View attachment 1476359
USHAHIDI wa awali wa Jeshi la Polisi nchini kuhusu madai ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe umeonesh kuwa siku hiyo ya tukio Mbowe alikuwa amelewa chakali na alizunguka kwenye kumbi mbalimbali za starehe zinazouza vileo ikiwemo ya Royal Village.

Pia ushahidi huo unaonesha mbali ya kuwa kwenye maeneo hayo ya starehe alikuwa nyumbani kwa mzazi mwenzake Joyce Nkya ambaye ni Mbunge wa Viti Maaluma Chadema na kwamba hata taarifa za kwamba ameshambuliwa zinatia shaka kwani mashahidi wote ambao wameojiwa hakuna anayethibitisha uwepo wa tukio hilo zaidi ya Mbowe mwenyewe na dereva wake.

Taarifa ya Jeshi la Polisi nchini iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Msemaji wa Jeshi hilo David Misime amesema Juni 9 mwaka huu walitoa taarifa ya awali kupitia Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Mroto kuhusu tukio la lililoripotiwa kuwa Mbowe amelezwa jijini Dodoma kwa kile kilichodaiwa kushambuliwa wakati anaingia nyumbani kwake .

Misime amesema baada ya kutolewa kwa taarifa hiyo ya awali wamekuwa wakipokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wa habari wakitaka kufahamu matokeo ya uchunguzi kuhusu taarifa iliyofikishwa Kituo cha Polisi Kati Dodoma.

"Napenda kujulisha kuwa Jeshi la Polisi limeendelea kufanya upelelezi wa kina kuanzia kwa mhanga mwenyewe wa tukio ambaye alidai kuwa muda wa saa saba hivi usiku akiwa kwenye ngazi ya kuingia nyumbani kwake akiwa na anatoka kwa mzazi mwenzake aitwaye Joyce Nkya ambaye ni Mbunge wa Viti Maaluma Chadema anayeishi eneo la Medeli Mjini Ddoma alishambuliwa na kuumia kwenye mguu wa kulia.

"Mhanga wa tukio hilo alidai wakati anashambuliwa alipiga kelele nyingi kuomba msaada ambao aliupata kutoka kwa dereva wake ambaye naye alipiga simu kwa Joyce Nkya kisha hospitali iliyoko takribani umbali wa kilometa tano nje ya Jiji la Dodoma pasipo umuhimu wa kutoa taarifa Polisi kabla ya kwenda kwa Joyce Nkya na Hospitali,"amesema Misime.

Ameongeza upelelezi wao umepata ushahidi kutoka kwenye eneo la tukio unaonesha kulikuwa na watu kwa namna yoyote wangeweza kusikia makelele yaliyopigwa na Mbowe kuomba msaada na wengine walikuwa na uwezo wa kuona bila kizuizi kitendo cha kushambuliwa .

"Hata hivyo kwa mujibu wa wa mashahidi hawa hakuna hata mmoja aliyeweza kusikia kelele hizo au kuona mbowe akishambuliwa. Kwa mantikini hiyo ushahidi pekee unaozumngumzia kushambuliwa ni maelezo ya mhanga wa tukio(Mbowe) pamoja na dereva wake.

"Ambayo kwa hali ilivyo sasa yanatia shaka kuhusu ukweli wa tukio hili.Mashaka hayo yanaongezeka zaidi pale tulipobaini kuwa nyumbani kwa Mbowe alikuwepo kijana wake aitwaje James Mbowe ambaye hawakuona umuhimu wa kumjulisha kuhusu tukio lililotokea hapo nyumbani badala yake waliona umuhimu wa kumjulisha Jocye Nkya aliyekuwa mbali na eneo la tukio,"amesema.

Pia amesema uchunguzi wa Jeshi la Polisi nchini umethibitisha kuwa siku ya Juni 8 mwaka huu Mbowe alitembelea sehemu kadhaa za starehe zinazouza vileo ikiwepo ya Royal Village na kupata kinywaji.

"Hata hivyo alipofika hospitali alioneana akiwa katika hali ya ulevi chakari kiasi cha kushindwa kutamka maneno sawa sawa.Tunaendelea na uchunguzi kutafuta ukweli wa tukio hili, hivyo tunaomba wananchi wenye taarifa zinazoweza kusaidia upelelezi huo wazilete kwetu. Tutaendelea kutoa taarifa kwenu kadri ushahidi utakavyopatikana,"amesema Misime kupitia taarifa ya jeshi hilo kwa vyombo vya habari.

Pia soma

> News Alert: - Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

> Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

> Mhe. Mbowe na Mhe. Joyce Mukya mtafanya hili suala kuwa siri mpaka lini?

> Joyce Mukya ni nani? Pamoja na kutokuwa active kwenye Siasa bado anapeta ubunge CHADEMA zaidi ya miaka 10

Hivi RPC wa Dodoma ni Gilles Muroto au Mroto? hawajuani hata majina makamanda wetu jamani!
 
Kwa hiyo ulitaka waseme kapigwa hata hajapigwa. Kama unahakika kapigwa unaweza kuthibitishia umma pia. Maana hao majirani hawawezi kudanganya.
The expected report. None can go against the prior said report by the Speaker of Jiwe. What is said by Speaker is the one that has been said by the holder and/ or the owner of the Speaker
 
Kujitoa ufahamu hakubadilishi tukio lilivyokuwa hata upingane na ripoti hakita badilika kitu, itabaki tu mbowe alilewa akateleza kwenye ngazi na kuumia kisigino
Sasa kama uchunguzi umekamilika na kutolewa taarifa unasema tena "uchunguzi unaendelea kupata ukweli wa jambo hili" na tena unasema "mwenye taarifa za tukio hili atuletee". Sasa hapo maana yake nini?
 
Nimecheka peke yangu.
Kumbe pombe mbaya kiasi hicho.
 
Maisha yanenda kasi sana, juzi inaonekana kama miaka 200 nyuma.
Unafiki unawaponza sana watu wa vyama.
Nakumbuka, baada ya kutokea tukio la kushambuliwa kwa Mwamba, wafuasi wa ccm kwenye mitandao walitamani sana footage za cctv zitolewe, hili lilikumbana na upinzani mkali kutoka waandamanaji wa mitandaoni wa cdm ukiwamo wewe mkuu. Leo, polisi wametoa taarifa ya uchunguzi wa awali na kuonyesha mwamba aliteleza, cdm wanataka cctv zitumike na waropokaji wa ccm hawataki.
Mkiacha umalaya wenu wa kisiasa hii nchi itaenda mbele.
Kwa utu wa kila mmoja hata km akiwa mlevi au muuaji, akishambuliwa au kajiumiza, kitu huruma ni muhimu sana. Uongo haujengi wala majivuno si uugwana.
Tujifunze kuwa wa kweli daima maana itatuweka huru. Na sio ushabiki maandazi km mnavyofanya nyie, wewe ukiwemo.
kwa manufaa ya JF na wengine unaweza kuniwekea hapa andiko langu nililokataa ushahidi wa CCTV CAMERA ?
 
Kujichetua tu unaweza.
Msijitoe ufahamu. Ukweli ni kwamba Taarifa hii kwa aliyeenda shule akaelimika haijitoshelezi. Ina upungufu mwingi mno! Ina acha maswali mengi kuliko majibu. Hii siyo taarifa ya uchunguzi bali ni taarifa inayokazia taarifa ya Spika na wale akina Lijualikali na Silinde
 
Ndugu zangu polisi just simple and cleal fungueni CCTV camera ZA nyumba ya Mbowe over.

Ni jambo la aibu polisi unatoa matokeao ya uchunguzi wako alafu unasema kama kuna mtu Ana taarifa akupe ulizo toa wewe nu USHUZI?.
Ni aibu wewe mtaalamu wetu unasema tukio bado mnalichuguza unachunguza nini wakti umeisha toa taarifa?
Yaani hawa jamaa ni aibu. Taarifa yenyewe utafikiri imeandikwa na Chekechea wa kijijini. Taarifa inajikanganya yenyewe. Kila aya inayofuata inapingana na iliyopita.
 
Lijamaa linakunywa vinywaji Vikali sana wakati umri wake umeenda sana.
Likishauliwa kupunguza mvinyo mkali nasikia linakuwa mbogho.
Umeliona wapi? Linakunywa na mama yako ndiye kakuhadithia? Acha matusi, hayo ni matusi ya wazi ...nawe utatukanwa maana huna valid argument except matusi
 
Back
Top Bottom