Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Wapambane na khali yao, Slaa alidondoka akavunja mkono ulisikia mtu akimkebehi wala kumdhihaki? unadhani angesingizia serikali na vyombo chunguzi vikafanya yao angebaki salama? tungejua mengine mengi zaidi ya yale tuloyasikia. Mengine ni ya kujitakia tu.