Jeshi la Polisi Kenya lashutumiwa kutumia nguvu kubwa kudhibiti Waandamanaji

Jeshi la Polisi Kenya lashutumiwa kutumia nguvu kubwa kudhibiti Waandamanaji

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
APRKGTRBQVIBVAXDNA2LHTJGC4.jpg

Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu ya Kenya, (KNCHR) imeitaka Serikali kuchunguza Vitendo vya Ukiukwaji wa Haki za Binadamu vilivyofanyw ana Polisi kupitia Uharibifu, Ukamataji, Kujeruhi na Matumizi ya Risasi za Moto dhidi ya Waandamanaji.

Taasisi ya KNCHR inayofadhiliwa na Serikali imesema "Maafisa wa Polisi walipaswa kuwatenganisha wanaovuruga amani na kuwalinda wasio na hatia wakati wa maandamano na sio wakuwapiga,".

Serikali ya Rais Ruto inakabiliana na Maandamano ya kupinga Gharama kubwa za Maisha na madai ya Ukiukwaji wa Sheria katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 2022 yanayoongozwa na kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga.
230320133042-01-kenya-protests-032023.jpg

================

The government-funded Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR) has said it is documenting allegations of human rights violations committed in Monday’s protests by both police and demonstrators.

In a statement, the commission called on the government's police watchdog to also investigate reports of vandalism, arrests, injuries and use of live fire by police officers.

"Police officers should be able to isolate and arrest violent protesters who are in breach of peace and at the same time protect those who are innocent during the demonstrations," the KNCHR said.

"The commission further affirms that any human rights violation or abuse in the context of these demonstrations must be investigated promptly, thoroughly and impartially.”

The protests against the high cost of living and alleged electoral malpractices turned violent in several opposition strongholds, including parts of Nairobi and the west of the country.

BBC
 
Mbona polisi Kenya wamelegea sana sehemu ingine wakionekana wanakimbia waandamanaji waliowarushia mawe

Polisi Kenya waje Tanzania kujifunza jinsi ya kukabiliana na waandamanaji wanaorushia mawe polisi waone polisi wa Tanzania wanavyoshughulika nao

Jeshi la polisi la Kenya legelege sana

Nguvu kubwa ipi walitumia siioni
 
Mbona polisi Kenya wamelegea sana sehemu ingine wakionekana wanakimbia waandamanaji waliowarushia mawe

Polisi Kenya waje Tanzania kujifunza jinsi ya kukabiliana na waandamanaji wanaorushia mawe polisi waone polisi wa Tanzania wanavyoshughulika nao

Jeshi la polisi la Kenya legelege sana

Nguvu kubwa ipi walitumia siioni
Tz waoga man
 
Tz waoga man
Wajaribu Tanzania wauone mziki wake

Kenya Nairobi Central Business District wanafunga maduka kwa hofu ya waandamanaji nyoko

Tanzania andaa maandanano ya kwenda Dar es salaam Central Business District iwe City centre au kariokoo uone mziki wa polisi ukitaka mzima hujafa au hujavunjila viungo na kuwa mlemavu maisha yako yote ruksa kuita polisi wa Tanzania mashogq

Rutto hopeless kabisa mjinga mkubwa hafai kuwa Raisi waandamanaji hawawezi paralylise Business Nairobi Central District wakati serikali yake ipo na polisi na jeshi analo mjinga sana Ruto halindi Business ambao ndio walipa kodi wakubwa walio.na Business Nairobi Central BUSINESS area

Hana akili na hopeless
 
Wajaribu Tanzania wauone mziki wake

Kenya Nairobi Central Business District wanafunga maduka kwa hofu ya waandamanaji nyoko

Tanzania andaa maandanano ya kwenda Dar es salaam Central Business District iwe City centre au kariokoo uone mziki wa polisi ukitaka mzima hujafa au hujavunjila viungo na kuwa mlemavu maisha yako yote ruksa kuita polisi wa Tanzania mashogq

Rutto hopeless kabisa mjinga mkubwa hafai kuwa Raisi waandamanaji hawawezi paralylise Business Nairobi Central District wakati serikali yake ipo na polisi na jeshi analo mjinga sana Ruto halindi Business ambao ndio walipa kodi wakubwa walio.na Business Nairobi Central BUSINESS area

Hana akili na hopeless
Brainless, unaua waandamanaji ambao hawana silaha?
MTU akiharibu mali ya mtu kuna sheria za hayo makosa na polisi akiua bure kuna sheria pia dhidi ya hiyo. Kuandamana ni haki Kenya
 
Back
Top Bottom