Jeshi la Polisi kuongea na Waandishi wa Habari Septemba 13, 2024 kuhusu tamko la CHADEMA la Septemba 11, 2024

Condom ilihitajika siku ile
 
Hao ndio wamama wa kizimkazi na mama supika wa akina mwakafyale
 
 
HATA KAMA MTU AMEKUKOSEA NAMNA GANI!! USICHUKUE UAMUZI WA KUMWAGA DAMU YAKE N.A. KUTOKA UHAI WAKE..hilo ni jukumu la Muumba wetu.
Inawezekana pia kwamba hii ndiyo njia "Muumba wtuy" ameamua kuitumia kutuponya tulio baki? Hili ni swali tu mkuu wangu!
 
Wewe Lucas Mwashambwa ni kibaraka wa Mafwele, na nyie ni wamwagaji wakubwa wa damu isiyo na hatia
 
Yaani mpaka sasa hakuns hata mtu mmoja aliyekamatwa?😁😁
 
Chadema wakiweka ugoko, jesho linaweka jiwe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii ndio taarifa ya jeshi la polisi Nchini View attachment 3094509

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi ya kuua.
Lucas Hebel Mwashambwa,
Hatoshi, labda kuongoza familia yake na kina Abdul
Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wanatoa taarifa gani kama wanashindwa kukamata wauaji ?
 
Vyombo vya ulinzi na usalama ni taswira ya Serikali iliyopo madarakani:

Ukiwa na serikali ya hovyo, unakuwa na vyombo vya ulinzi na usalama vya hovyo.

Ukiwa na Serikali inayoamini survival yake ni kwa kudhulumu haki, vyombo vya ulinzi na usalama kazi yake kubwa ni kuua wananchi wanaotetea haki. NA HAPA NDIPO TULIPO KWA SASA.
 
Si wangeacha tu! Maana tayari wananchi tunafahamu watazungumzia kuhusu kupiga marufuku kitu chochote kitakachofanywa na hao Chadema!

Lakini pia watatoa maneno ya vitisho kwa watu wote watakaoshiriki aidha kwenye maandamano, au kitu chochote kitakachofanywa na Chadema!!

Na mwisho wa siku watu wenye akili tutaendelea kuamini ya kwamba hilo jeshi limeundwa kwa madhumuni ya kuilinda CCM, na siyo kuwalinda raia na mali zao.
 
Haya sasa ni malumbano kama ya vigodoro.
Kisa mna bunduki.
Toeni taarifa za walipo kina Soka.
Toeni taarifa kuhusu walio tajwa na Mbowe je? Kweli ni watumishi wa taski force au sio kweli.
Kanusheni maelezo ya Sativa je alifikishwa Ostabay polisi au ni uzushi.
Je alifikishwa Arusha au ni propa ganda?
Kombo mlikataa hamko nae baada ya siku 29 mkawa nae. Je ni nani alimleta kwenu? Au alikuwa ame jiteka baadae aka jisalimisha kwenu?
Sio kupambana na Chadema kwa nguvu ya dola..
 
Haya sasa ni malumbano kama ya vigodoro.
Kisa mna bunduki.
Toeni taarifa za walipo kina Soka.
Toeni taarifa kuhusu walio tajwa na Mbowe je? Kweli ni watumishi wa taski force au sio kweli.
Kanusheni maelezo ya Sativa je alifikishwa Ostabay polisi au ni uzushi.
Je alifikishwa Arusha au ni propa ganda?
Kombo mlikataa hamko nae baada ya siku 29 mkawa nae. Je ni nani alimleta kwenu? Au alikuwa ame jiteka baadae aka jisalimisha kwenu?
Sio kupambana na Chadema kwa nguvu ya dola..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…