Jeshi la polisi kutumia mikutano Chadema kukamata jinai ni kuwatisha wananchi kujiunga na Chadema.

Jeshi la polisi kutumia mikutano Chadema kukamata jinai ni kuwatisha wananchi kujiunga na Chadema.

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Jeshi la polisi limesema baadhi ya wanachama wa Chadema wanashikiliwa kwa makosa ya jinai! Watanzania tujiulize hivi wizi, mauaji na ukabaji ni vitendo vinavyofanywa na wanachama wa Chadema tu? Ni wazi mtindo huu umeanzishwa na jeshi hilo kuwatisha wananchi wasijiunge na Chadema kwa kuhofia kukamatwa, hii haikubaliki.
 
Ni kweli mleta mada. Lkn yote kwa yote huyu mama hakubaliki kabisa huku bara. Akazane tu kuchota hela kwa sasa, maana 2025 hatoboi.
 
Ni kweli mleta mada. Lkn yote kwa yote huyu mama hakubaliki kabisa huku bara. Akazane tu kuchota hela kwa sasa, maana 2025 hatoboi.
Huku Msigwa ametoa siri kuwa CCM imeamua kuua upinzani ili ibaki CCM tu.

"Msigwa: Tunazima zote tunawasha Kijani".​

 
Kama kuna kichefuchefu cha millenium ni chura kiziwi kupeperusha 2025 hawatoamini macho yao
 
Ni kweli mleta mada. Lkn yote kwa yote huyu mama hakubaliki kabisa huku bara. Akazane tu kuchota hela kwa sasa, maana 2025 hatoboi.
Hakubariki ni kwa sababu kwenye mfumo wanachangia kumchafua,hawamsaidii!
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Hapa kunatatizo huenda likajitokeza kwa kuwakamata wanachadema watakao kwenda kujiandikisha au kuhakiki taarifa zao kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, huu ni uamuzi uliofanywa na polisi bila kuungalia mbele.
 
Jeshi la polisi limesema baadhi ya wanachama wa Chadema wanashikiliwa kwa makosa ya jinai! Watanzania tujiulize hivi wizi, mauaji na ukabaji ni vitendo vinavyofanywa na wanachama wa Chadema tu? Ni wazi mtindo huu umeanzishwa na jeshi hilo kuwatisha wananchi wasijiunge na Chadema kwa kuhofia kukamatwa, hii haikubaliki.
Kukichwa kutapambazuka
20240812_165726.jpg
 
Jeshi la polisi limesema baadhi ya wanachama wa Chadema wanashikiliwa kwa makosa ya jinai! Watanzania tujiulize hivi wizi, mauaji na ukabaji ni vitendo vinavyofanywa na wanachama wa Chadema tu? Ni wazi mtindo huu umeanzishwa na jeshi hilo kuwatisha wananchi wasijiunge na Chadema kwa kuhofia kukamatwa, hii haikubaliki.
Kukichwa kutapambazukaView attachment 3068383
 
CCM NI GENGE LA KIGAIDI LINALOTUMIA MABAVU YA VYOMBO VYA DOLA KUENDELEA KUTAWALA.
 
Na hawa ndo wanakula kodi zetu, Nikiwahi kua CCM basi nimekua Shetani nikimbieni popote mkiniona.
 
Ni kweli mleta mada. Lkn yote kwa yote huyu mama hakubaliki kabisa huku bara. Akazane tu kuchota hela kwa sasa, maana 2025 hatoboi.
Una tume huru ya uchaguzi?Umesahau Maalim Seif alishinda urais Zanzibar?je alitangazwa?
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Una tume huru ya uchaguzi?Umesahau Maalim Seif alishinda urais Zanzibar?je alitangazwa?
CCM ina ukoo wa viongozi hivyo ni lazima wajilinde kwa kila hali wasiondoke madarakani, kina hivi vikundi vya "Hamasa" ni vikundi hatari kwani havitakuwa tayari kukibali CCM kutika madarakani.
 
Back
Top Bottom