Tetesi: Jeshi la Polisi kuzuia kikao cha baraza kuu la CUF

Status
Not open for further replies.
Ukishafanya review kwa lipumba ukajua alikotoka na alipo na mienendo ndipo utagundua mamluki ni wengi katika vyama vya siasa huko nchini. Twendeni na mtambo LISSU anatosha.
 
Alishika biblia mbele ya mamilioni ya Watanzania na wageni waalikwa toka nchi za jirani na kutamka haya, lakini kiapo alichokiapa mbele ya Mungu wake na matendo yake tofauti kabisa!


Hapa naona muhimili mmoja tayar ushatitia (bye bye bunge) huku tukusubir mahakama nayo ichukuliwe na mwewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: SDG
Ni kheri MTU kubaini wapi ulipokosea ili ujue mbinu za kusahihisha kosa kuliko kuhamishia kwa wengine, Aliyeshitaki polisi huhusu kikao haramu cha Zanzibar ni Mwenyekiti wao tena amesema mbele ya vyombo vya habari. Kuwa hajatoa maelekezo ya kuitishwa kwake, Yawezekana hamtaki kumtambua lakini ndyo hivyo sheria inamtambua na polisi wapo kuhakikisha sheria za nchi zinatekelezwa. Mkiambiwa rudini mezani mmalize matatizo yenu kila mmoja ananyonga sharubu, mtaja situka mmechoka kiakili msijue la kufanya.
 
Hata sasa JK ni msuluhish wa Libya Saga

May Allah bless Me and You
 

Haya maisha,huwez kujua kesho yako.
Leo Maalim na Lipumba hawakai meza moja.Na haya ndo maisha,hamuwez kukubaliana kila kitu


May Allah bless Me and You
 
Kwa nini watawala wa awamu ya tano wanaelekeza nguvu zote kunyamazisha ama kuua upinzani badala ya kujikita katika kutatua matatizo yanayolikabili taifa na wananchi kwa ujumla. Hivi msingi wa matatizo yanayoikabili Tanzania kwa sasa ni wapinzani ama yanatokana na mfumo pamoja na watawala wenyewe?.
 
Naomba mungu Cuf wasibugudhiwe ili japo nasi tujue kwamba wao wanakuja na point ipi ya msingi katika hili suala.kwani kama watadhuiliwa basi inaweza ikaleta kwikwi sana katika hali ya usalama wa demokrasia na amani kwa ujumla .nakumbuka nilipokuwa mtoto mama aliwahi kuniambia kuwa dawa nzuri ya kupunguza hasira ni kulia. Tunakuomba sana ewe muhimili wa nne 'maagizo kutoka juu' uwaruhusu hao wote wafanye kikao chao tafadhari ili watoe duku duku lao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata sasa JK ni msuluhish wa Libya Saga
May Allah bless Me and You
Unasuruhisha watu waliotayari kusuruhishwa, mtu asiyekubali suruhu kama maalimu unaanzaje? Mara ngapi ameshauriwa suruhu na michakato kuanza haipiti kitambo anakimbilia Dar kutangaza hataki suruhu? Wabobezi wa siasa wamemshauri kusuruhishwa na Mwenyekiti kwa afya ya CUF anakana katukatu hakai na msaliti. Lipumba anauliza, "Leo maalimu anakaa Meza moja na Sumaye aliyetekeleza mauaji ya wana CUF 60 ktk maandamano ya 2001 Mkapa na Maalim wakiwa ugaibuni lakini katu hataki kukaa meza moja na Mimi niliyekuwa front line?"
 
Umeme utazimwa siku hiyo! Au mitandao itaamrishwa kuzima network
 
Leo hii unamwambia Seif hatak suluhu,kwani chanzo cha yote ni nini?
Haya sasa CUF imeshasplit,na kuna kila dalilk 2020 ikapoteza sana Udiwani na Ubunge kwa spidi kali sana

May Allah bless Me and You
 
sidhan kama watazuia maana kufanya hivyo ni sawa na kumzuia Mh Polepole kufanya mkutano kitu ambacho wanajua consequence zake...
 
CCM inalazimisha vita kwa udi na uvumba .
CUF, tulieni msumari wa moto uwaingie, chama kiliporwa kwa James Mapalala, tulieni chama kirudi tabora . huko pemba anzisheni chama chenu
 
Na Lipumba anakaa meza moja na JPM anaewaita wapinzani VILAZA na hatak wafanye mikutano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

May Allah bless Me and You
 
Leo hii unamwambia Seif hatak suluhu,kwani chanzo cha yote ni nini?
Haya sasa CUF imeshasplit,na kuna kila dalilk 2020 ikapoteza sana Udiwani na Ubunge kwa spidi kali sana

May Allah bless Me and You
Chanzo cha yote haya ni udikteta wa Maalim kuzuia maombi ya baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Ubungo Plaza kutaka Lipumba ajieleze mbele ya wajumbe ili yatoke maamuzi sahihi na ya pamoja. Haya yote yasingetokea. Fitina na mabavu Siki zote hayajengi
 
Na Lipumba anakaa meza moja na JPM anaewaita wapinzani VILAZA na hatak wafanye mikutano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

May Allah bless Me and You
Na hawaoni madhara ya misuguano isiyo na afya wataitwaje?
 
Umeme utazimwa siku hiyo! Au mitandao itaamrishwa kuzima network
++++++++++++++++++++++++
Nani atatangaza kwamba leo tuna E-Conference? Tukifanya usiku wa manane nani atazima nini? Kumbuka tunafanya kutoka sehemu mbali mbali duniani na tunatumiwa mitandao mbali mbali

Imekula kwa CCM hii!.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…