kolelosi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 814
- 1,940
Huyu dereva inasemekana alifariki kwenye ajali ya New force iliyoingia kwenye korongo Morogoro mwezi huu.
View attachment 2324857
Wanaenda mwendokasi wanasahau kuwa wanafamilia. Sifa zinawaua. Mwenyezi Mungu amrehemu
Daah mwamba kaacha watoto 19.
R.I.P
Daah