Madueke
JF-Expert Member
- Jul 5, 2023
- 318
- 379
Wengine ni marafiki zetu wengine ni dada zetu tupo nao mtaani ila kusema ukweli nikimuona askari namuona kama hayupo sawa,,,,ivi mpaka unachagua kuwa askari kipi kinakuvutia hasa kwenye jeshi la polisi,,,,ndio maana kigezo cha kuwa polisi na beki tatu mnatumia vyeti sawa ,,,,