Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

Subiri siku hao vibaka wakubamie ndio uwaambie hao mapoliisi wavae uniform kwenda kumkamata kibaka wako. Hapo si kamvamia mtu mwingine sio wewe?
naomba siku wajichanganye kwang ntachinja kima , bila hv hawa polis wenu hawatokuja pata akili , zaman walifanya haya mamb kwa siri siku hz wanafanya hadharani , ccmu na machawa wao wanatuingiza huku ambapo DRC , Somalia , Libyia wamepambana kutoka kwa miaka mingi ila hawawez maana ukiingia huku bas kutoka ni mtihani maana kila mtu anakugeuza fursa , soon kuna watu watapewa silaha nao kupigana dhidi ya ccmu wakidai wanapigania haki zao kama m23 kule DRC .

TETEA HIZ TABIA ILA NIWAKUMBUSHE MKATAFUTE VIWANJA MAPEMA HUKO BURUNDI MAANA SEMAJI LENU LILISHA SEMA MUENDE URUNDI MKALE AMAHOROO
 
Si unaona OCD Bageni alitumia. Udhaifi huo huo Kupora watu Dhahabu na kuwpiga Risasi watu wanne na huku akiwasingizia ni Majambazi?
Sheria ukishaipa Loophole kuna watu wanaitumia vibaya.

Tena wakapata Ujasiri wa kwenda media eti walikuwa wanajibizana Risasi na majambazi hao akina Zombe.
Uongo mtupu.
Dunia sehemu nyingi polisi baadhi wako hivyo
Polisi hao hao baadhi wanakula na wahalifu na wanawatorosha
Maana si wako kwenye payroll yao

Ova
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354

Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
Sasa hapa ndio wanathibitisha kuwa Wao ndio wahusika WA Utekaji, huwezi kumkamata MTU Kwa style Ile Ile na "watekaji"!
 
Mambo ni mengi hii dunia uwanja wa fujo!
Mimi nazungumza hivi maana nnauzoefu na wahalifu tena wengine ni wale konki kabisaaaa

Ntakupa kisa kimoja watu wengi hawakijui ,ilala kulikuwa na kundi linaitwa cha ukucha walisumbua sana ilala,buguruni kigogo mburahati walikuwa watoto lkn washaawatandika sana watu
Wengine hadi kuwatia vilema na wengine walipoteza uhai
Unajuwa mfumo ulikuja uliamuaje
Kuhusu wale watoto ni kuwamalizaaaa tu
Iliundwa kikosi kazi maalum kimya kimya wakawamaliza,mambo ya kudeal na uhalifu kuna wakati inafika serikali yenyewe inawqchoka
Haya nakupa kisa kingine miaka ya 90 alikuwa jambazi mmoja alikuwa anaitwa dar break alitisha sana alipewa onyo ashafungwa miaka 30 anatoka miaka 2 tu njee
Anaendelea na matukiooo
Ashatolewa mpaka kwenye gazeti wanted .......huyo naye walimalizana naye
Haya kuna jambazi mmoja alikuwa anaitwa ramadhani ngonji sasa huyu ndy muanzilishi wa uhalifu wa kutumia pikipiki ashafanya matukio mengi ashafungwa anatoka wanavyotoka wanajuwa wenyewe
Jamaa ashapora sana hadi kuua
Huyu naye ilifika wkt polisi walimalizana naye .......
Hapa naweza kupa list ya watu hata 1000 wakafikaa wa matukiooo...
Point tu wahalifu wengine washashindikqna
Hata huko marekani yule mhalifu alivuma sana miaka ya 69 sjui 50 smbdy dellinger fbi ilibidi itoe warrant ya kumkamata akiwa hai au amekufaaaq
Kuna mijitu mingine dunia hii washashindikana

Ova
sijasoma chochote ulichoandika ila nkuambie nmekulia kwenye kambi ya jeshi tangu nazaliwa mpk naanza jitegemea , wanafamilia yang ni wakubwa sana jeshi kote polisi na jeshini .

NMEONA NMESHUHUDIA NA NMESHRIKI NLIKUWA MTETEZ WA HUU UJINGA MPK NLIPOSAFIR KWENDA NJE YA NCHI NKAGUNDUA KUNA MAMB TUMEYAFANYIA MAZOEA IKA KIUTUMISHI SIO SAHIHI , ZAMAN NLIKUWA NASHABIKIA UTEKAJI SABAB HUKO NLIKOKULIA NLIAMINISHWA KUWA YEYEOTE AGAINST CCMU NI ADUI ILA BAADAE NLIVYOKUJA KUWA HURU KIAKILI NKAWA NASIKILIZA CCMU NA WENGINE , CCMU NI ZERO BRAINED POLITICAL PARTY HAPA DUNIANI , NA NDO WALEZI WA HAYA MATUKIO , POLISI MWENYE V ANAPATA WAP UJASIRI WA KUVUNJA SHERIA ZA UTUMISHI KAMA HAYUPO MTU NYUMA YAKE ? RPC HAEZ FANYA JAMBO BILA KUTAMBUA KUWA BOSS WAKE CCMU ANALIUNGA MKONO

MPK SASA WATU 200 hatujui walipo
 
Kama ni mwizi wangempiga na risasi moja ya mguu. Hao wezi wa kwenye pikipiki walishawahi kunipora simu iliyokuwa na mambo yangu mengi sana. Ninalipongeza sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri.
 
Is that a way of handling a criminal? Askari anapaswa kufanya kazi kwa weledi na kwa uangalifu sana.

Ukamataji ulifanyika kienyeji bila kuonesha ujuzi wa kitaaluma.
Ilikuwa ni purukushani za kishamba zilizodhaniwa kufanywa na watu wasio na ujuzi wa kazi za kiusalama.

Imagine raia wangeamua kuingilia kati varangati ingekuwaje?

Askari hata akiwa kiraia ( askari kanzu) Kuna picha na ujumbe lazima auneshe na kuutuma kwa hadhira Ili kujibu sintofahamu.

Wajifunze kuwa smart katika kazi zao.
Acha kutetea wezi.
 
Mambo ni mengi hii dunia uwanja wa fujo!
Mimi nazungumza hivi maana nnauzoefu na wahalifu tena wengine ni wale konki kabisaaaa

Ntakupa kisa kimoja watu wengi hawakijui ,ilala kulikuwa na kundi linaitwa cha ukucha walisumbua sana ilala,buguruni kigogo mburahati walikuwa watoto lkn washaawatandika sana watu
Wengine hadi kuwatia vilema na wengine walipoteza uhai
Unajuwa mfumo ulikuja uliamuaje
Kuhusu wale watoto ni kuwamalizaaaa tu
Iliundwa kikosi kazi maalum kimya kimya wakawamaliza,mambo ya kudeal na uhalifu kuna wakati inafika serikali yenyewe inawqchoka
Haya nakupa kisa kingine miaka ya 90 alikuwa jambazi mmoja alikuwa anaitwa dar break alitisha sana alipewa onyo ashafungwa miaka 30 anatoka miaka 2 tu njee
Anaendelea na matukiooo
Ashatolewa mpaka kwenye gazeti wanted .......huyo naye walimalizana naye
Haya kuna jambazi mmoja alikuwa anaitwa ramadhani ngonji sasa huyu ndy muanzilishi wa uhalifu wa kutumia pikipiki ashafanya matukio mengi ashafungwa anatoka wanavyotoka wanajuwa wenyewe
Jamaa ashapora sana hadi kuua
Huyu naye ilifika wkt polisi walimalizana naye .......
Hapa naweza kupa list ya watu hata 1000 wakafikaa wa matukiooo...
Point tu wahalifu wengine washashindikqna
Hata huko marekani yule mhalifu alivuma sana miaka ya 69 sjui 50 smbdy dellinger fbi ilibidi itoe warrant ya kumkamata akiwa hai au amekufaaaq
Kuna mijitu mingine dunia hii washashindikana

Ova
sijasoma chochote ulichoandika ila nkuambie nmekulia kwenye kambi ya jeshi tangu nazaliwa mpk naanza jitegemea , wanafamilia yang ni wakubwa sana jeshi kote polisi na jeshini .

NMEONA NMESHUHUDIA NA NMESHRIKI NLIKUWA MTETEZ WA HUU UJINGA MPK NLIPOSAFIR KWENDA NJE YA NCHI NKAGUNDUA KUNA MAMB TUMEYAFANYIA MAZOEA IKA KIUTUMISHI SIO SAHIHI , ZAMAN NLIKUWA NASHABIKIA UTEKAJI SABAB HUKO NLIKOKULIA NLIAMINISHWA KUWA YEYEOTE AGAINST CCMU NI ADUI ILA BAADAE NLIVYOKUJA KUWA HURU KIAKILI NKAWA NASIKILIZA CCMU NA WENGINE , CCMU NI ZERO BRAINED POLITICAL PARTY HAPA DUNIANI , NA NDO WALEZI WA HAYA MATUKIO , POLISI MWENYE V ANAPATA WAP UJASIRI WA KUVUNJA SHERIA ZA UTUMISHI KAMA HAYUPO MTU NYUMA YAKE ? RPC HAEZ FANYA JAMBO BILA KUTAMBUA KUWA BOSS WAKE CCMU ANALIUNGA MKONO

MPK SASA WATU 200
 
Kama ni mwizi wangempiga na risasi moja ya mguu. Hao wezi wa kwenye pikipiki walishawahi kunipora simu iliyokuwa na mambo yangu mengi sana. Ninalipongeza sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri.
lin umesikia polisi wameshika mwiz wa piki piki ? polisi wakimshika wanamuomba rushwa wanamwachia , hlf wanakwambia hawajamuona
 
Kwanini hawakuwa na uniform? kesho watekaji nao wakifanya hivyo? sahivi ni ngumu kutofautisha polisi na watekaji? hovyo kabisa, why baada ya kumkamata hawakutoa taarifa kwa VEO/Mwenyekiti wa mtaa? nina wasiwasi sn na hii taarifa nadhani baada ya kusikia kelele nyingine wamemgeuzia kibao. Kama watu walikuwa hapo walishindwa nini kujitambulisha kwa hao watu na kusema wanakompeleka? polisi ya kijinga sn hii
Ukifanya uhalifu utakamatwa popote pale bila taarifa ya mwenyekiti wa kitongoji. Tii sheria
 
Embu acha utoto wako hapa. Yaani wewe kila siku unaunga mkono uovu tu Utafikiri na wewe ni mhalifu. Kwanini usiulize sababu ya yule wa pikipiki aliyekuwa anakamatwa kutokutii Amri?
Mtekaji na mkamataji wanatofautianaje?
 
Njia gani wangetumia ndugu mtaalamu?
hv ccmu mmelogwa na nan ? huu ufafanuz wamekuja kuutoa , walipaswa kuutoa eneo la tukio na sio kukimbia na mtu na kusubiri video isambae mitandaoni .

Wapo wametona na majibu yao eneo la tukio na hawatakuwa imani na hili jeshi la ccmu , maana wanashika mtu kama wanaenda muua vile .

UNAPOMSHIKA MTU LZM UWE NA GARO LA POLISI KUEPUSHA TAHARUKI KWENY UMMA PILI LZM UTOE UFAFANUZ KWA UMMA TATU LZM UMPE MTU MUDA WA KUJULISHA NDUGU ZAKE
 
Mhalifu anakamwlatwa na watu waliovyaa kiuni?

CCM imetuchoka!

Wananchi nadhani tuanzishe thread ya kuknyesha maovu yanayofanywa na Serikali iliyopo madarakani kwa kutofuata Sheria.
 
Back
Top Bottom