Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

Acha uhuni wewe. Yule mhalifu alionyeshwa vyote na alijua ni polisi lakini alikuwa akigoma kupanda kwa sababu alijua mwisho wake wa uhalifu umefikia tamati.
Polisi ndio wanakamata watu kwa mtindo huo siku hizi?

Mtu aonyeshwe kitambulisho agome?

Angalia hao askari[vibaka] walivyovaa kichekibobu kuna mtu atakubali kukamatwa nao kirahisi?
 
We mjinga Nini!! Watu wamekuja wamevaa kiraia na hawana vitambulisho utaachakuwa mbishi wkt matukio ya utekaji ndio yameshamiri kila mahali. Akina Soka wa Chadema walichukuliwa kimzaha hivi hivi,wako wapi hadi Sasa!? Mzee Kibao alichukuliwa kwenye bus na mitutu ya bunduki hatima yake ilikuwa nini!?. Jitafakari wewe kubwa jinga!
Huyo mhalifu alionyeshwa kila kitu na alikuwa amewakimbia polisi kabla ya kudakwa. Hata yeye anajua ni mhalifu na ndio maana alikuwa analeta ubishi. Si unaona alikuwa haweki hata namba ya usajili wa pikipiki yake kwa ajili ya kuficha uovu wake kutojulikana.
 
Polisi ndio wanakamata watu kwa mtindo huo siku hizi?

Mtu aonyeshwe kitambulisho agome?

Angalia hao askari[vibaka] walivyovaa kichekibobu kuna mtu atakubali kukamatwa nao kirahisi?
Tena huyo mhalifu wamemsamehe sana maana alikuwa anakimbia na kukataa kutii amri hata pale alipoonyeshwa vitambulisho vyote. Inatakiwa wamfinye sanaa ili ataje na wenzake na kurudisha vitu alivyoiba kwa watu.
 
Nimeishi brazil huko polisi wa bongo wanasubiri jnsi wanavyo deal na wahalifu
Maana polisi wenyewe nao wanafanyiwqga sana na wahalifu
Ndomana polisi nao wamebidi kuwa aggressive ku deal na wahalifu

Ova
Ni matokeo ya kuishi kwenye jamii ya Wakatiri......maana Unakita Polisi nao ni wahalifu sasa wahalifu kwa wahalifu wakikutana nini kinatokea?
 
We mjinga Nini!! Watu wamekuja wamevaa kiraia na hawana vitambulisho utaachakuwa mbishi wkt matukio ya utekaji ndio yameshamiri kila mahali. Akina Soka wa Chadema walichukuliwa kimzaha hivi hivi,wako wapi hadi Sasa!? Mzee Kibao alichukuliwa kwenye bus na mitutu ya bunduki hatima yake ilikuwa nini!?. Jitafakari wewe kubwa jinga!
Acha kuharisha hapa. Nenda Kibaha kamwekee dhamana.
 
Huyo mhalifu alionyeshwa kila kitu na alikuwa amewakimbia polisi kabla ya kudakwa. Hata yeye anajua ni mhalifu na ndio maana alikuwa analeta ubishi. Si unaona alikuwa haweki hata namba ya usajili wa pikipiki yake kwa ajili ya kuficha uovu wake kutojulikana.
Watu kila siku wanatekwa na kuokotwa wameuawawa.
Shida yako Lucas unafanya siasa kwa kila jambo.

Hakuna anayetetea uhalifu ndio maana tunajadili hili jambo.

Kwa mazingira ya sasa ambapo utekaji na mauwaji yamekithiri ni ngumu sana kumwamini huyu mtu ni Mamlaka ya Serikali eti kwa sababu ya makaratasi tu ya vitambulisho.

KInyume na hapo hakuna sababu ya sheria za ukamataji kuwekwa. Kama hazifatwi. Polisi walishakiri kwamba wakitumia taratibu za kisheria inashindikana?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354

Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Huo ni Utekaji Wala siyo Ukamataji.

Huyo Askari Polisi aliyetoa taarifa hii amefanya hivyo baada ya kuona kwamba Wananchi wamewashitukia
 
Watu kila siku wanatekwa na kuokotwa wameuawawa.
Shida yako Lucas unafanya siasa kwa kila jambo.

Hakuna anayetetea uhalifu ndio maana tunajadili hili jambo.

Kwa mazingira ya sasa ambapo utekaji na mauwaji yamekithiri ni ngumu sana kumwamini huyu mtu ni Mamlaka ya Serikali eti kwa sababu ya makaratasi tu ya vitambulisho.

KInyume na hapo hakuna sababu ya sheria za ukamataji kuwekwa. Kama hazifatwi. Polisi walishakiri kwamba wakitumia taratibu za kisheria inashindikana?
Huyo mhalifu alionyeshwa kila kituo na mbaya zaidi alikuwa amewakimbia. Huyo mhalifu anajua kila kitu anachokifanya
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354

Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha


Sio uhalifu wa kimtandao kwa kuikosoa SERIKALI ya CCM ?
 
Wapo sahihi kabisa na ninashangaa kwanini hawakuwa na kirungu cha kumregeza Miguu wakati analeta ubishi wake wa kukamatwa. Tii sheria bila shuruti. Nawachukia sana wahalifu na waporaji. Embu fikiria wewe uhangaike kwa jasho lako kutafuta mali fulani au kitu fulani halafu mtu anakuja anakuibia? Utajisikiaje? Mimi nasema walimkamata kistaarabu sana.
Mzee kibao alitii sheria bila shuruti yuko wapi??
 
Leo hili limepita salama watu wamepongeza, ila wale jamaa wasiojulikana mjue wamepata point ya kuendeleza ubaya ubwela. Watakuja wanasema wao ni police, na km kawaida yao wanakuchukua ndo inakuwa kwa heri.

Police wanatakiwa wawe na uelewa wa hali ya wakati husika. Kwa mtu aliosoma na hali ya tahadhari iliyopo kwa sasa huwezi kuvaa bukuta ukaja kimkamata mtu tena na gari la kiraia. Surely, ingekuwa usiku na huyo jamaa akapiga kelele kuwa anatekwa hawa police sasa hivi huenda tungekuwa tunaongea mengine. Km maofisa wa TRA hawakuacha kumbukumbu kwa watendaji wa serikali, basi yajayo yatafutahisha.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Jeshi letu la Polisi Nchini limetoa ufafanuzi wa kina juu ya video mjongeo iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikionyesha dereva bodaboda au mtu mwenye pikipiki akikamatwa na watu waliovaa kiraia nakisha baadaye kupakizwa kwenye gari nyeusi na kuondoka naye.

Jeshi letu la polisi limesema tukio hilo lilifanywa na askari wetu kwa mtu huyo ambaye alikuwa ni mhalifu wa makosa mbalimbali ya uporaji kwa kutumia pikipiki.

Kwa hiyo watanzania tuache mihemuko na lawama na kutupa maneno yasiyo na ukweli. Tuwe watu wa subira na kushirikiana na vyombo vyetu vya ulinzi kupata taarifa rasmi.

View attachment 3245354

Soma: Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
Weledi wa polisi ni zero kabisa.kama ni mhalifu wangesema kabisa kuwa wao ni polisi wa kituo Fulani ili kuondoa taharuki.Na wawe wanavaa ngua zao rasm.wanaukamataji wa kishamba sana
Polisi unavaaje pensi vile au inaruhusiwa na wanatumiaje gari ya aina ile maana magari yao yanafahamika
 
Leo hili limepita salama watu wamepongeza, ila wale jamaa wasiojulikana mjue wamepata point ya kuendeleza ubaya ubwela. Watakuja wanasema wao ni police, na km kawaida yao wanakuchukua ndo inakuwa kwa heri.

Police wanatakiwa wawe na uelewa wa hali ya wakati husika. Kwa mtu aliosoma na hali ya tahadhari iliyopo kwa sasa huwezi kuvaa bukuta ukaja kimkamata mtu tena na gari la kiraia. Surely, ingekuwa usiku na huyo jamaa akapiga kelele kuwa anatekwa hawa police sasa hivi huenda tungekuwa tunaongea mengine. Km maofisa wa TRA hawakuacha kumbukumbu kwa watendaji wa serikali, basi yajayo yatafutahisha.
Siyo Polisi wote wanaokuwa katika unifom .wengine hawavai kwa ajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za kipolisi kufanyika kwa mafanikio
 
Back
Top Bottom