Tumemuagiza na yeye alambe asali kama Mbowe. Kisha ikifika uchaguzi mumshinde, ila kihalali. Hapo nadhani sonona yako itaisha.Mbowe alilamba asali akawa anamchekea Samia vipi Lissu kachukua hatua gani?
Wanajua cdm wana mvuto, hivyo wanahofia huo mkutano wao kukosa attention.Hiyo press na huo mkutano vinaingiliana vipi mpaka polisi wakimbilie kunako ofisi za chadema kuzuia? Wangeacha tu maana media zipo nyingi na zina uwezo wa ku cover matukio yote mawili kwa wakati mmoja
Vp kuhusu mifisadi na mijizi ya taifa hili iliyoko ccmCdm ni wasaliti sna
Unataka achukue hatua gani kwa mfano Mr chawa?Vipi kachukua hatua gani? Maana Mbowe alilamba asali
Ukiwa umeolewa basi unafikiri kila mtu nae kaolewa.unaoneka hata mmeo hujampa mbususu leo kwasababu ya mkutano wa nishati gesi maccm majinga kabisa
Hili ni shambulizi dhidi ya demokrasia, ni mtihani kwa lissu pia kama mwenyekiti mpyaJeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.
View attachment 3215420
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.
View attachment 3215428
Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
Ni vitu viwili tu hapa. Kama siyo bangi basi matatizo ya akili, periodChadema ya lisu ni ya hovyo kuliko ya mbowe na maisha yake ni mafupi sana, mihemko mingi sana
Mnyika aache ujinga Nchi ina ugeni mkubwa
mimi siwapangii ila wenye dola yao ndo wanawapangiaWewe kama nani uwapangie chadema siku za kufanya press
Akili fupi sikiliza kwan CDM wamefanya press ngap na hawajazuiliwa? we hujiulizi kwann hii? kwan wakifanya tarehe 29 kuna nn? Wafanyakaz na wanafunzi wote hawakwend makzini na mashulen ila atokee mtu mmoja kashiba huko anataka Kiki aweke press na unataka achekewe utakua umeshiba bang sio bureHuna uwezo wa kunipa darasa,kilichofanyika ni woga tu wa CCM. Press ya Katibu mkuu wa Chadema haiwezi ku jeopardise usalama wa nchi,hizo cheap propaganda waambie watoto wadogo. Tumewazoea kutumia polisi kuhujumu shughuli za kisiasa za wapinzani.
Baki na haya maelezo yako uchwara mwenyewe na siasa zenu za ujima. Wacheni hofu za kitoto. Unafikiri watu wote wana akili mgando kama za nyie misukule ya CCM.Akili fupi sikiliza kwan CDM wamefanya press ngap na hawajazuiliwa? we hujiulizi kwann hii? kwan wakifanya tarehe 29 kuna nn? Wafanyakaz na wanafunzi wote hawakwend makzini na mashulen ila atokee mtu mmoja kashiba huko anataka Kiki aweke press na unataka achekewe utakua umeshiba bang sio bure
Hili jeshi la kise.nge sanaJeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.
View attachment 3215420
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.
View attachment 3215428
Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni
We mwanamke safari hii kazi unayo, sio kwa sonona hii😂Lissu kamtukana sana Mbowe kuwa alikua legelege na mlamba asali…. Kapanua sana domo kuonesha wenzie hawakua chochote CDM so ni zamu yake kuonesha umwamba!!
Mbona mnahamisha magoli? Hamkutaka tuhoji? Jibuni maswali kima nyie sio mnafuga matumbo tuUnataka achukue hatua gani kwa mfano Mr chawa?
Naona uvumilivu unakushinda sasa!! Mwanamke ni Lissu na sijui lile tumbo inakuaje aiseeWe mwanamke safari kazi unayo sio kwa sonona hii😂
Unapotaka kuhoji basi onyesha una akili na swali lako lina chembe ya akili siyo kama wanawake wanaosutana.Mbona mnahamisha magoli? Hamkutaka tuhoji? Jibuni maswali kima nyie sio mnafuga matumbo tu
Duh hii kali Sana😁😁😁Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezuia mkutano wa waandishi wa habari wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Mnyika uliopangwa kufanyika leo Jumatatu 27/1/2025 saa tano asubuhi.
View attachment 3215420
Nje ya jengo la Makao Makuu hayo wapo askari wa jeshi la polisi kwa taarifa tulizonazo waandishi wa Jambo TV, Azam TV, Mwananchi wamezuiwa na kuondolewa eneo hilo.
View attachment 3215428
Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
View attachment 3215422
View attachment 3215487
Pia, Soma: Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika kuongea na Waadishi wa Habari Makao Makuu ya Chama, Mikocheni