The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Niko mikononi mwa Polisi Maisha yangu bado ni mikosi wote itikieni Afandee….
Wanabodi nianze kusema binafsi sifutahishwi na huu utaratibu wa polisi kusema mtu akipotea hawapokei taarifa chini ya masaa 24 tangu mtu amepotea.
Huenda ndani ya masaa hayo jitihada zikafanyika na mtu akaokolewa uhai wake hususani watoto.
Sioni mantiki kwamba chini ya masaa 24 mtoto atakua hajapotea? Ni akili ya wapi hii sasa ni kwanini tunajeshi la watu wavivu kufikiria kiasi hiki.
Mwenye ujuzi Au sababu muhimu Naomba maelezo.
Wanabodi nianze kusema binafsi sifutahishwi na huu utaratibu wa polisi kusema mtu akipotea hawapokei taarifa chini ya masaa 24 tangu mtu amepotea.
Huenda ndani ya masaa hayo jitihada zikafanyika na mtu akaokolewa uhai wake hususani watoto.
Sioni mantiki kwamba chini ya masaa 24 mtoto atakua hajapotea? Ni akili ya wapi hii sasa ni kwanini tunajeshi la watu wavivu kufikiria kiasi hiki.
Mwenye ujuzi Au sababu muhimu Naomba maelezo.