kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Kawakamate waliokwenda Dubai kupokei rushwa za bandari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja waje 😀😂😂Kwa zoezi Hilo,dogo anaweza kuwapiga wanaume wa Dar wote aiseeee.
CrapHee!!! Yani wapo kwenye msako alafu tuwasaidie sisi?
naunga mkonyo hojaView attachment 2754985
Jeshi la Polisi limeona video hii fupi (clip) ikimwonesha Mtoto aliyefanyiwa vitendo vya ukatili na udhalilishaji na limeanza kuifanyia kazi kuanzia ilipoanza kusambaa ili aliyefanya kitendo hicho cha kinyama kisichokubalika aweze kukamatwa na hatua zingine za kisheria ziweze kufuata.
Mtoto huyu lazima atakuwa na Mama, Babu, Bibi, Shangazi, Mjomba, Majirani na Viongozi wa Serikali za Mitaa.
Tunatoa wito kwa yeyote mwenye taarifa za nani alifanya kitendo hicho au kilifanyikia wapi asisite kutoa taarifa Polisi au kwa Kiongozi yeyote yule ili kufanikisha kukamatwa kwake.
Imetolewa na:
David A. Misime - SACP
Msemaji wa Jeshi la Polisi
Makao Makuu Ndogo ya Polisi
Dar es Salaam, Tanzania
Pia soma: Serikali imchukulie hatua kali za Kisheria huyu aliyemtesa Mtoto kwa staili hii
Unaweza kuwadharau polisi utakavyo ila omba isitokee siku wakawa wanakutafuta. Ndo utawajua vizuri
Nenda kituo cha karibu cha polisi ukawauliza hivyo.Wamejuaje ni mtanzania?? Au polisi yetu wanafanya kazi nchi zote zinazozungumza kiswahili??
Au awekwe yeye hapo alipouweka huyo mtoto kwa miaka kumi. Pumbavu zake!Akikamatwa,
. Kama mwanaume akatwe korodani
. Kama mwanamke akatwe papuchi
Ukiangalia hiyo video na ukashindwa kutoa ushirikiano ikiwa unajua, basi huna tofauti na hao waliofanya hivyo.Hee!!! Yani wapo kwenye msako alafu tuwasaidie sisi?
Yeye anaona kwasababu hana tatizo nao ndio maana anawachukulia poaUnaweza kuwadharau polisi utakavyo ila omba isitokee siku wakawa wanakutafuta. Ndo utawajua vizuri
Ungewaambia kwanza wao waje kutangazia nyumbani kwangu!!Nenda kituo cha karibu cha polisi ukawauliza hivyo.