Jeshi la Polisi linamsaka aliyemfanyia Mtoto Kitendo cha Ukatili na Udhalilishaji kwa Kumning’iniza kwenye mti

Unaweza kuta labda ni kwa jirani yetu, sasa sijui Jeshi litavuka mipaka kwenda kumkamata mhusika!

Nawaza tu.
 
naunga mkonyo hoja
 
Hee!!! Yani wapo kwenye msako alafu tuwasaidie sisi?
Ukiangalia hiyo video na ukashindwa kutoa ushirikiano ikiwa unajua, basi huna tofauti na hao waliofanya hivyo.

Mimi ningewachoma mapema tu, ule ukatili ni wa jambazi aliekubuhu.
 
Mbona kitengo cha IT cha police wakishirikiana na TCRA ni rahisi kumjua mtu was Kwanza kurusha maudhui mtandaoni?
Wito wangu msimdhuru mtuma picha maana ndio kamafanya sote tukaona mateso ya mtoto Ila mshughulikieni vilivyo kijana anaeonekana akimpatia adhabu isiyo stahili mtoto mdogo kama yule
Sheria ifuate mkondo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…