AFANDE POA POA
Senior Member
- Oct 12, 2015
- 101
- 111
Umenena vyema sana mkuukama una solution au wazo la kusaidia
weka hapa usaidie na wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena vyema sana mkuukama una solution au wazo la kusaidia
weka hapa usaidie na wengine
Acheni uraia kwanini usimjibu vizuri ungepungukiwa nini,mkijaa kwenye 18 mnatia huruma sana..Hiyo kazi ni laana, sitakubali mwanangu aifanye
Malalamiko kama haya yamekuwa mengi sana.Hivi hao wahusika hawaoni na kusikia au wanategea muda uende ili wafanye yao?
Nazani wanafanya kusudi
Usimtishe wala kumpa majina upendavyo.Kwani unamfahamu?Kazi/kada karibu zote hulalamikiwa,kushutumiwa au kukosolewa.Ina maana hata wewe bado una uraia na haujakamuliwa hasira za kiraia.Huwezi kujichukiza tu kwa maandishi ya mtu usiyemfahamu.Uvumilivu na kucheza na akili ya unayemkabili ndiyo silaha halisi ya mtu anayetaka kujitofautisha/ kujipambanua na raia asiyejua mambo ya uaskari.You catch me,chap?Acheni uraia kwanini usimjibu vizuri ungepungukiwa nini,mkijaa kwenye 18 mnatia huruma sana..
endeleeni kutumia nguvu,kazi ya polisi ni kutumia nguvu siyo akiliMalalamiko kama haya yamekuwa mengi sana.Hivi hao wahusika hawaoni na kusikia au wanategea muda uende ili wafanye yao?
Pengine wana watu wao tayarNi dogo mpaka ameahrisha Kila siku mfumo haufunguki, polisi kweli kweli.
NILIFIKIRI UPO SERIOUSkama una solution au wazo la kusaidia
weka hapa usaidie na wengine
noma sana sijui wanayaona hayaHizi siku 5 walizoonheza nilifanikiwa kumtengenezea acc dogo baasi
ila kila ukifungua page itaload masaa 24
broswer ya fire box ndio ipi mkuu??Apply leo kuanzia saa 5:30 usiku mtandao huu wa polisi utakuu free enough
Download browser ya fire box ndo utumie pia tumia link ya TPF ajira2
N.b we nung'unika wenzio wana apply
Fanya hvo dogo
unamaanisha Fire Fox? iyo box haipoApply leo kuanzia saa 5:30 usiku mtandao huu wa polisi utakuu free enough
Download browser ya fire box ndo utumie pia tumia link ya TPF ajira2
N.b we nung'unika wenzio wana apply
Fanya hvo dogo