Jeshi la Polisi mkoani Mbeya laandaa kongamano la injili litakaloongozwa na Mwl. Christopher Mwakasege

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya laandaa kongamano la injili litakaloongozwa na Mwl. Christopher Mwakasege

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
IMG-20220130-WA0002.jpg
 
Kama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
 
Hiyo ndio tarehe Spika Ndugai aliitangaza kwa ajili ya kuliombea taifa.

Mungu wa mbinguni awabariki polisi wetu!
 
Mungu ambariki mwalimu mwakasege. Roho wa Mungu akawe juu yake na akanene kwa ujasiri ile siri ya Injili ambayo Ni uweza wa Mungu. Nawaombea polisi wetu katika kuelewa Neno la Mungu kwa Ile Neema ambayo imefunuliwa kwa watu wote inayotufundisha kukataa ubaya na tamaa za kila namna. MUNGU AKAWE PAMOJA NANYI KATIKA KONGAMANO NA KUWATENDEA MEMA.
 
Kama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Daaa hao watu wamechafuka coz of kesi ya Mbowe
 
Kama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Wanataka kutusahaulisha ya mtwara na urio
 
Back
Top Bottom