Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka ukombozi umekaribia
Daaa hao watu wamechafuka coz of kesi ya MboweKama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Wanataka kutusahaulisha ya mtwara na urioKama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Shetani akizeeka anakuwa Malaika
Baadhi ya mafande wa chini na maafisa kuanguka kwa mapepo na wengine kuokoka na kutoa ushuhuda wa matukio ambayo waliwahi fanya.Bila shaka ukombozi umekaribia
Wanataka kuokoka na kuanguka kwa mapepo wengine watatoa ushughuda wao wa matukio ambayo waliwahi fanyaPolisi na injili wapi kwa wapi tena
Bado MtwaraBaadhi ya mafande wa chini na maafisa kuanguka kwa mapepo na wengine kuokoka na kutoa ushuhuda wa matukio ambayo waliwahi fanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena haswaHii mupyaaaa mupyaaaa kabisaaaaaaa
Bujibuji Simba Nyanaume ameanza utapeli. Haijaandaliwa na polisi. Ni Fellowship ya askari. Kama ambavyo vyuoni kuna jumuiya za kidini askari wana za kwao. Ni kama jumuiya ya Wakristo UDSM wafanye kongamano wamwalike mwl Mwakasege huwezi sema UD imeandaa kongamano. Ni utapeliPolisi na injili wapi kwa wapi tena