Jeshi la Polisi mkoani Mbeya laandaa kongamano la injili litakaloongozwa na Mwl. Christopher Mwakasege

Jeshi la Polisi mkoani Mbeya laandaa kongamano la injili litakaloongozwa na Mwl. Christopher Mwakasege

IMG-20220130-WA0002.jpg
 
Kama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Hakika
 
Na sisi askari tufanyaje Bwana tuuridhi ufalme wa Mungu, lidhikeni na mishahara yenu
 
Bujibuji Simba Nyanaume ameanza utapeli. Haijaandaliwa na polisi. Ni Fellowship ya askari. Kama ambavyo vyuoni kuna jumuiya za kidini askari wana za kwao. Ni kama jumuiya ya Wakristo UDSM wafanye kongamano wamwalike mwl Mwakasege huwezi sema UD imeandaa kongamano. Ni utapeli
Utapeli lengo lake ni kupata pesa mwisho wa siku.

TuchukulieAl Shabaab wakavamia kongamano hilo na kuua askari wote utasemaje? Utasema waliouawa sio polisi?
 
Utapeli lengo lake ni kupata pesa mwisho wa siku.

TuchukulieAl Shabaab wakavamia kongamano hilo na kuua askari wote utasemaje? Utasema waliouawa sio polisi?
Buji umeanza kuwa kuhani? Yaani umataka kupindisha mambo? Heading inasema Jeshi la Polisi laandaa. Mwandaaji sio Jeshi la Polisi.
Utapeli sio lazima hela.
 
Kama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Na kama Zakayo warudishe kwa waathirika, mali walizowadhulumu.
 
Kama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Matrafiki wao wataenda au wao haiwahusu
 
Back
Top Bottom