Amigoh
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 2,045
- 2,975
Wangemuweka Mwamposa ningewatukana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangemuweka Mwamposa ningewatukana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HakikaKama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Hata kwenye kundi la waovu wabaya kabisa kuna wenye nafuu kidogoPale magaidi wanapo adaa umma kwa kuandaa injili
Usimsingizie Mwakasege, hajawahi kusema hivyo, aliyesema hivyo ni Mwingira.Mwakasege alisema ikulu kuna shetani. atume moto
Haha hahahWangemuweka Mwamposa ningewatukana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utapeli lengo lake ni kupata pesa mwisho wa siku.Bujibuji Simba Nyanaume ameanza utapeli. Haijaandaliwa na polisi. Ni Fellowship ya askari. Kama ambavyo vyuoni kuna jumuiya za kidini askari wana za kwao. Ni kama jumuiya ya Wakristo UDSM wafanye kongamano wamwalike mwl Mwakasege huwezi sema UD imeandaa kongamano. Ni utapeli
Atang'oka na meno yote ladha ya nyama aisikie tu kwa mkewe, yeye apige michicha mwanzo hadi mwishoShetani akizeeka anakuwa Malaika
SureAtang'oka na meno yote ladha ya nyama aisikie tu kwa mkewe, yeye apige michicha mwanzo hadi mwisho
Pia mtende haki na muache dhuluma.Na sisi askari tufanyaje Bwana tuuridhi ufalme wa Mungu, lidhikeni na mishahara yenu
Buji umeanza kuwa kuhani? Yaani umataka kupindisha mambo? Heading inasema Jeshi la Polisi laandaa. Mwandaaji sio Jeshi la Polisi.Utapeli lengo lake ni kupata pesa mwisho wa siku.
TuchukulieAl Shabaab wakavamia kongamano hilo na kuua askari wote utasemaje? Utasema waliouawa sio polisi?
[emoji38][emoji38][emoji38]Baadhi ya mafande wa chini na maafisa kuanguka kwa mapepo na wengine kuokoka na kutoa ushuhuda wa matukio ambayo waliwahi fanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kama Zakayo warudishe kwa waathirika, mali walizowadhulumu.Kama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.
Matrafiki wao wataenda au wao haiwahusuKama askari polisi wenyewe ni kama vile Kingai, Goodluck, Mahita Jr, J4, waporaji na wauaji kama hawa wa juzi kati kule Mtwara, wale wa Zombe & Co, wale washukiwa wa suala la Hamza na wengine wengi wapiga dili za kihuni, na wale waliofanikisha wizi wa kura mwaka 2019 na 2020 inawapasa wajitokeze kwa wingi, na watubu makosa yao kwa kumaanisha.