mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,864
- 10,483
[emoji23][emoji23][emoji23] wao kidogo wanashiriki dhambi ndogo ndogo, kutokana na imani ya dhehebu mama wao watakwenda kumalizana huko "purgatory" tu na mungu wao. Ila hawa wakina Kingai wao wana jambo lao huko kuzimu kwa mzee Lucifer.Matrafiki wao wataenda au wao haiwahusu