Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha

Mbona hawa nao ni wawekezaji kama wale wa Dubai, wangewapa sapoti badala ya kuwakamata.
 
Wew ni muhanga wa hili jambo
 
Ndo tatizo la viongozi, yaani tatizo linashughulikiwa mwishoni kabisaa,haya ni maajabu ya Karne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…