CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Jeshi la Polisi Mkoani Tanga wilayani Pangani, limewakamata viongozi wa cuf pia ni wajumbe wa baraza kuu la taifa la CUF. Wamekamatwa wakiwa katika ujenzi wa chama
#hatuwezikurudinyuma.
#hatuwezikurudinyuma.