Jeshi la Polisi Pangani jijini Tanga limewakamata viongozi wa CUF pia ni wajumbe wa Baraza Kuu la Taifa la CUF

Wabongo ni watu wa kushangaza sana! CUF wamekamatwa na polisi na picha zinaonekana lakini watu wanabisha ! lakini kakamatwa Zitto mnataka tumuonee huruma ! KUMBUKENI TUPO WATANZANIA TUSIO KUWA NA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA.
 
Wabongo ni watu wa kushangaza sana! CUF wamekamatwa na polisi na picha zinaonekana lakini watu wanabisha ! lakini kakamatwa Zitto mnataka tumuonee huruma ! KUMBUKENI TUPO WATANZANIA TUSIO KUWA NA CHAMA CHOCHOTE CHA SIASA.
Picha za kukamatwa kwao ziko wp
 
Tatizo viongozi wa upinzani wabinafsi hawana dhamira ya kweli...2015 baada ya wapinzani kuibiwa kura vijana walikuwa tayari kuliamsha dude mamvi oooh msifanye hivyo..wakati huu hakuna kuwakataza vijana atakayekufa siku yake imefika
 
khaa.... cuf tunajua ni mshirika mkubwa Wa sisiemu, hivyo hii ni zuga tu na hakuna aliyekamatwa
 
Cuf acheni maigizo ya kijinga mkamatwe na nani? Mume wako hawezi kukumata bali anakutomasa tu. Mpeni mume wenu unyumba acheni utani.
 
hawa hawajakamatwa wamekodi magari a police, baada ya kumaliza mkutan ili kuzuga ACT
 
Kwani kina Mapumba bado wapo?
Masikini Sakaya ni wakuonea huruma.
 
Mnapotoa taarifa ya mtu/watu kukamatwa, mtoege na na sababu za kukamatwa kwao
Ndugu yangu kuna sababu za maana basi, utaambiwa unazurura wakati wa kazi, Kwa mfano huyu Lwakatare si mbunge wala diwani sasa huko Tanga kilichompeleka ni nini kama si uzururaji.
 
Jeshi la Polisi Mkoani Tanga wilayani Pangani, limewakamata viongozi wa cuf pia ni wajumbe wa baraza kuu la taifa la CUF. Wamekamatwa wakiwa katika ujenzi wa chama

#hatuwezikurudinyuma.
View attachment 1487195
Watanzania poleni sana kwa udikteta. Mungu awape akili ya kuweza kumtambua Nduli aliyeko na kumtupilia mbali ili muwe salama.
 
Nyie ni tawi la Ccm (Ccm B) acheni kutuzuga.
 
Kwa katiba, sheria, na vyombo vya dola tulivyonavyo kwa sasa; kura yako haina thamani wala maana. Tujifunze kuishi tu na matatizo haya tuliyonayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…