Jeshi la polisi Tanzania wala halina shida yoyote, liko vizuri sana

Jeshi la polisi Tanzania wala halina shida yoyote, liko vizuri sana

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Jeshi la polisi Tanzania wala halina shida yoyote,liko poa sana.
Shida ya jeshi la polisi ni latina.
Shida ni CCM,
Shida ni serikali iliyopo madarakani.

Hilo afrika kusini wakate wa makaburu mapolisi walifanya hivihivi,lakini serikali ilipobadilika na matendo ya askari yakabadilika.
Latina yao ilipobadilika na matendo yao yakabadilika. Chama kilichokua kikitawala kilipoondolewa na matendo ya kikatili ya polisi dhidi ya watu weusi yakabadilika.

Polisi ni kama bunduki tu,bunduki hawezi kujipiga yenyewe hata iwe na mnyororo wa risasi. Bunduki inapigwa na mtu kumlenga mtu mwingine.

WATANZANIA WENZANGU polisi wanatumwa tu na waendesha nchi. Kama ni Manisha magumu polisi wanayaishi zaidi kuliko sisi.

Ni ngumu Sana kutetea uongo ndugu zangu. Maagizo kutoka juu ni ngumu Sana kupingana nayo,ukiweza kuyapinga uwe tayari kwa lolote lile.

Kutoa ushahidi kweli na ulionyooka haihitaji kuwa na PHD
 
Unapo peleka mwanao shule akajifunze unampeleka akaondoe ujinga anapo rudi nakufanya vitu vya kijinga manake ni kuwa hajui alicho enda kusomea

Polisi wana taaluma zao na utaalamu zao

CCM wanamiliki maneno

Ukiacha taaluma ukafanyia kazi maneno basi hauko sawa kichwan
 
Unapo peleka mwanao shule akajifunze unampeleka akaondoe ujinga anapo rudi nakufanya vitu vya kijinga manake ni kuwa hajui alicho enda kusomea

Polisi wana taaluma zao na utaalamu zao

CCM wanamiliki maneno

Ukiacha taaluma ukafanyia kazi maneno basi hauko sawa kichwan
Si rahisi kusema chakula kinanuka wakati uko mezani, ukitolewa mezani utakula wapi. Mkiwa mezani ni rahisi wote mseme chakula kinanukia na mnampigia makofi mpishi.
 
Jeshi la polisi Tanzania wala halina shida yoyote,liko poa Sana.
Shida ya jeshi la polisi ni latina.
Shida ni CCM,
Shida ni serikali iliyopo madarakani.
Hilo afrika kusini wakate wa makaburu mapolisi walifanya hivihivi,lakini serikali ilipobadilika na matendo ya askari yakabadilika.
Latina yao ilipobadilika na matendo yao yakabadilika.
Chama kilichokua kikitawala kilipoondolewa na matendo ya kikatili ya polisi dhidi ya watu weusi yakabadilika.

Polisi ni kama bunduki tu,bunduki hawezi kujipiga yenyewe hata iwe na mnyororo wa risasi.
Bunduki inapigwa na mtu kumlenga mtu mwingine.

WATANZANIA WENZANGU polisi wanatumwa tu na waendesha nchi.
Kama ni Manisha magumu polisi wanayaishi zaidi kuliko sisi.

Ni ngumu Sana kutetea uongo ndugu zangu.
Maagizo kutoka juu ni ngumu Sana kupingana nayo,ukiweza kuyapinga uwe tayari kwa lolote lile .
Kutoa ushahidi kweli na ulionyooka haihitaji kuwa na PHD
Lakini siku akitumwa kumdhuru hata MAMA yake aliyemzaa na akatii hapo tatizo ni yule aliyetumwa.
Kwa kweli hata kama ni kujitoa fahamu nao wamezidi.
 
45A7DB43-F39C-46C8-92CA-75F6A9DA40FD.jpeg


Jeshi la polisi Tanzania wala halina shida yoyote,liko poa Sana.
Shida ya jeshi la polisi ni latina.
Shida ni CCM,
Shida ni serikali iliyopo madarakani.
Hilo afrika kusini wakate wa makaburu mapolisi walifanya hivihivi,lakini serikali ilipobadilika na matendo ya askari yakabadilika.
Latina yao ilipobadilika na matendo yao yakabadilika.
Chama kilichokua kikitawala kilipoondolewa na matendo ya kikatili ya polisi dhidi ya watu weusi yakabadilika.

Polisi ni kama bunduki tu,bunduki hawezi kujipiga yenyewe hata iwe na mnyororo wa risasi.
Bunduki inapigwa na mtu kumlenga mtu mwingine.

WATANZANIA WENZANGU polisi wanatumwa tu na waendesha nchi.
Kama ni Manisha magumu polisi wanayaishi zaidi kuliko sisi.

Ni ngumu Sana kutetea uongo ndugu zangu.
Maagizo kutoka juu ni ngumu Sana kupingana nayo,ukiweza kuyapinga uwe tayari kwa lolote lile .
Kutoa ushahidi kweli na ulionyooka haihitaji kuwa na PHD
 
Jeshi la polisi Tanzania wala halina shida yoyote,liko poa Sana.
Shida ya jeshi la polisi ni latina.
Shida ni CCM,
Shida ni serikali iliyopo madarakani.
Hilo afrika kusini wakate wa makaburu mapolisi walifanya hivihivi,lakini serikali ilipobadilika na matendo ya askari yakabadilika.
Latina yao ilipobadilika na matendo yao yakabadilika.
Chama kilichokua kikitawala kilipoondolewa na matendo ya kikatili ya polisi dhidi ya watu weusi yakabadilika.

Polisi ni kama bunduki tu,bunduki hawezi kujipiga yenyewe hata iwe na mnyororo wa risasi.
Bunduki inapigwa na mtu kumlenga mtu mwingine.

WATANZANIA WENZANGU polisi wanatumwa tu na waendesha nchi.
Kama ni Manisha magumu polisi wanayaishi zaidi kuliko sisi.

Ni ngumu Sana kutetea uongo ndugu zangu.
Maagizo kutoka juu ni ngumu Sana kupingana nayo,ukiweza kuyapinga uwe tayari kwa lolote lile .
Kutoa ushahidi kweli na ulionyooka haihitaji kuwa na PHD
Nakubaliana na wewe..
 
Jeshi la polisi Tanzania wala halina shida yoyote,liko poa Sana.
Shida ya jeshi la polisi ni latina.
Shida ni CCM,
Shida ni serikali iliyopo madarakani.
Hilo afrika kusini wakate wa makaburu mapolisi walifanya hivihivi,lakini serikali ilipobadilika na matendo ya askari yakabadilika.
Latina yao ilipobadilika na matendo yao yakabadilika.
Chama kilichokua kikitawala kilipoondolewa na matendo ya kikatili ya polisi dhidi ya watu weusi yakabadilika.

Polisi ni kama bunduki tu,bunduki hawezi kujipiga yenyewe hata iwe na mnyororo wa risasi.
Bunduki inapigwa na mtu kumlenga mtu mwingine.

WATANZANIA WENZANGU polisi wanatumwa tu na waendesha nchi.
Kama ni Manisha magumu polisi wanayaishi zaidi kuliko sisi.

Ni ngumu Sana kutetea uongo ndugu zangu.
Maagizo kutoka juu ni ngumu Sana kupingana nayo,ukiweza kuyapinga uwe tayari kwa lolote lile .
Kutoa ushahidi kweli na ulionyooka haihitaji kuwa na PHD
Nakumbuka kipindi nimemaliza chuo kutokana na ugumu wa ajira nilita kujiunga na jeshi LA polisi aisee ,, broo wangu alinishauri akaniambia achana na hiyo kazi dogo haina future nzuri . nilimsikiliza
Namshuru sana broo kwa ushauri ulionipatia aisee
 
Unapo peleka mwanao shule akajifunze unampeleka akaondoe ujinga anapo rudi nakufanya vitu vya kijinga manake ni kuwa hajui alicho enda kusomea

Polisi wana taaluma zao na utaalamu zao

CCM wanamiliki maneno

Ukiacha taaluma ukafanyia kazi maneno basi hauko sawa kichwan
Mkuu ukienda kinyume na CCm wanakula kichwa sio watu hawa.
 
Hata wakati wa ukoloni, waliopigania Uhuru waliitwa wahaini na walifunguliwa kesi. Wahaini waliposhika madaraka waligeuka kuwa wakoloni na waliwaita wale wote ambao ni tishio la madaraka yao wahaini.
Ni washenzi wachache tu ndani ya polisi wanaowachukia wapinzani,kwa sababu wapinzani huwa wanatetea maslahi ya una Hadi na ya mapolisi.
Mapolisi walo wengi wqnawakubali Sana wapinzani.
Tundu lisu ametanabahisha kuwa mapolisi wengi waalikua Wana mrespect wakitumwa kumarrest,isipokua wachache tu.
Hawa jamaa Wana shida Sana ya mahitaji kuliko sisi hivyo wanauhitaji Sana upinzani.
 
Wahaini waliposhika madaraka waligeuka kuwa wakoloni na waliwaita wale wote ambao ni tishio la madaraka yao wahaini.
Kwahiyo unamaanisha hata hawa wanaotuhumiwa uhaini sasa hivi, wakishika madaraka na wao watawashughulikia wengine kama walivyomshughulikia Chacha Wangwe, Zito, Mwigamba nk?
 
Hawajui sheria pamoja na kuvaa nyota wanachapika huko mahakamani muda huu aibu hii ccm wanaua profesional za watu kwa uchama
 
Ni washenzi wachache tu ndani ya polisi wanaowachukia wapinzani,kwa sababu wapinzani huwa wanatetea maslahi ya una Hadi na ya mapolisi.
Mapolisi walo wengi wqnawakubali Sana wapinzani.
Tundu lisu ametanabahisha kuwa mapolisi wengi waalikua Wana mrespect wakitumwa kumarrest,isipokua wachache tu.
Hawa jamaa Wana shida Sana ya mahitaji kuliko sisi hivyo wanauhitaji Sana upinzani.
Tangu tupate Uhuru ujenzi wa polisi line ulisimama kwa muda mrefu. Polisi wengi wanaishi kwenye vyumba vya kupanga Uswahilini. Ni rahisi vibaka kumpiga usiku akiwa anatoka au kwenda kazini.
 
Unapo peleka mwanao shule akajifunze unampeleka akaondoe ujinga anapo rudi nakufanya vitu vya kijinga manake ni kuwa hajui alicho enda kusomea

Polisi wana taaluma zao na utaalamu zao

CCM wanamiliki maneno

Ukiacha taaluma ukafanyia kazi maneno basi hauko sawa kichwan
Mwamunyange,Imrani kombe.
 
Jeshi la polisi Tanzania wala halina shida yoyote,liko poa Sana.
Shida ya jeshi la polisi ni latina.
Shida ni CCM,
Shida ni serikali iliyopo madarakani.
Hilo afrika kusini wakate wa makaburu mapolisi walifanya hivihivi,lakini serikali ilipobadilika na matendo ya askari yakabadilika.
Latina yao ilipobadilika na matendo yao yakabadilika.
Chama kilichokua kikitawala kilipoondolewa na matendo ya kikatili ya polisi dhidi ya watu weusi yakabadilika.

Polisi ni kama bunduki tu,bunduki hawezi kujipiga yenyewe hata iwe na mnyororo wa risasi.
Bunduki inapigwa na mtu kumlenga mtu mwingine.

WATANZANIA WENZANGU polisi wanatumwa tu na waendesha nchi.
Kama ni Manisha magumu polisi wanayaishi zaidi kuliko sisi.

Ni ngumu Sana kutetea uongo ndugu zangu.
Maagizo kutoka juu ni ngumu Sana kupingana nayo,ukiweza kuyapinga uwe tayari kwa lolote lile .
Kutoa ushahidi kweli na ulionyooka haihitaji kuwa na PHD

Kama jeshi halijui mipaka yake ya kazi linakuwaje halina shida

 
Tangu tupate Uhuru ujenzi wa polisi line ulisimama kwa muda mrefu. Polisi wengi wanaishi kwenye vyumba vya kupanga Uswahilini. Ni rahisi vibaka kumpiga usiku akiwa anatoka au kwenda kazini.
Sawa kabisa Mkuu.
Hawa ndugu zetu mapolisi wanawahitaji zaidi wapinzani kuliko wanavyoihitaji ccm kutetea maslahi yao.
Usikute hiyo kingai alipewa maelekezo kutoka juu kubumba utetezi wa uongo.
Na kwa kundi ilivyo hawezi kukataa,akikataa .........
Imran k
 
Back
Top Bottom