Kule Bukoba watu walichanga halafu serikali ikasepa nazo kwingine
 
Interesting 🧐.....kama Serikali ina utaratibu wake katika maafa kama haya ya jengo kuporomoka Kariakoo, ina maana walioanza kuchangishana maji ile siku ya kwanza nao wakamatwe kwa kuwa hairuhusiwi?
Vipi vijana wasio kuwa na taaluma ya uokozi waliojitolea kuingia kwenye kifusi kutoa wale walioonekana kuhitaji msaada ile siku ya kwanza, nao watafutwe kwa kuwa hairusiwi?
Hizi siasa nadhani zina ukakasi kwa hakika 😡
 
Watu kama wewe mnaenda jela kipuuzi sana. Unadhani kutojua sheria ndo kinga ya kutohukumiwa?
 
#UPDATES Wakati zoezi la kutoa misaada mbalimbali likiendelea Kariakoo, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, na Uratibu. Dkt. Jim James Yonazi amewataka wananchi kuwa makini kuhusu michango inayoendeshwa ya kuwasaidia wahanga ambapo ameweka wazi kuwa akaunti inayokusanya michango ya fedha ni moja pekee na sio nyingine.

Dkt. Jim James amesema michango yote inayohusu tukio hilo inakwenda kwenye akaunti maalum ambayo ni ya serikali #EastAfricaTV
 
Yule Shangazi anaonesha wivu wa wazi kabisa kwa yule mtoto...
Siku zinavyokwenda anashindwa kuzuia wivu wake..
Riziki mwanzo wa chuki dear
Niffah ameonesha uwezo mkubwa wa beuty with brain ile division 1.7 yake ya halali,anajipambania mnoo
Hata kama anadanga ila anadanga kwa akili hawa wengine wameshtuka uzeeni ndo maana wanamchukia mnoo niffer amechelewa kuja mjini ila kawazidi parefuuu kiujanja
 
Kila kitu wanaitaji wapewe Maelelkezo!! Sio Watu wakujiongeza kama jeshi la Polisi
 
Halafu wewe hadi nimemiss umbea, sijui lini nichape kauzi tupeane ubuyu?
Watu wanatafuta umaarufu ili wapate masponsa wenye hela zao, tako kubwa bila sponsa ni hasara 🤣. Wengine wanatafuta umaarufu ili wapate ubunge mwakani 2025. Wengine wanataka umaarufu ili mwakani wapate tenda za kampeni kwenye uchaguzi 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…