Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ana chuki ambayo ameshindwa kuificha kabisa.Ila resty ana chuki mpk shetani anaogopa demu ana roho kubwa mnoo yule
Sijui kasoma Zanaki jioni yule daahh...chuki za waziwazi jamani
Wana beef hao kali sanaNaona alivyo changisha tuu Resty kainuka juu vibaya mno..... sijui wana ttzo gani
Hapo mwanzo mbona Kuna siku Niffer alikuwa balozi wa la vista organic za huyo Resty ......
Live kabisaa yaani sikuwazaga km anaweza fikia hukooNi ana chuki ambayo ameshindwa kuificha kabisa.
Kule Bukoba watu walichanga halafu serikali ikasepa nazo kwingineKama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?
Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?
Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo
Interesting 🧐.....kama Serikali ina utaratibu wake katika maafa kama haya ya jengo kuporomoka Kariakoo, ina maana walioanza kuchangishana maji ile siku ya kwanza nao wakamatwe kwa kuwa hairuhusiwi?Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.
Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu Niffer atafutwe ili aeleze nani ambaye alimpa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia tukio hilo kwa sababu Serikali ina utaribu wake katika mafaa kama haya.
Pia, Soma: Maafa Kariakoo: Usichangishe fedha tumia akaunti ya Serikali
Aidha baada ya agizo hilo majibu yakatolewa eneo la Kariakoo wakati Waziri Mkuu anazungumza kwamba Mfanyabiashara Niffer ameshapatikana.
Watu kama wewe mnaenda jela kipuuzi sana. Unadhani kutojua sheria ndo kinga ya kutohukumiwa?Ujue serikali hii, unaona kabisa kuna watu ni zero brain, mtu akitumia umaarufu wake kuraise michango kuna shida gani, mie huyo niffer simjui, lakini mfano kama mwakinyo, akiraise michango kuna watu watapata msukumo sababu ya mwakinyo, kuna fans wa Diamond, simba sc ama yanga sc wakianzisha kuna watu watavutika kuchanga sababu ya simba ama yanga.
Huenda kukawa kuna kaupigaji kweli, mie sikatai mjini kila mtu anaweza tumia matatizo kama fursa, lakini jinsi walivyochukua hatua sio vizuri, kesho kutwa litatokea janga, mtu maarufu akaogopa kulivalia njuga.
Kati ya huyo binti niffer na serikali nani wa kwanza kuweka utaratibu wa kuchangia.
Kama ni huyo binti serikali ilikuwa wapi kutoa muongozo?
Majanga kwetu tunachangisha wananchi halafu Uturuki serikali ilichangia zaidi ya billion 2
Picha pichaaasaaaaaa wapi?Haina haja ya wakili, Tako lake linatosha kumtoa. Akina Mange si wanasema ni Chakula ya wakubwa 🤣 atasumbuliwa kidogo kisha atatoka.
Tulia we mwanamama.Watu kama wewe mnaenda jela kipuuzi sana. Unadhani kutojua sheria ndo kinga ya kutohukumiwa?
Riziki mwanzo wa chuki dearYule Shangazi anaonesha wivu wa wazi kabisa kwa yule mtoto...
Siku zinavyokwenda anashindwa kuzuia wivu wake..
Kila kitu wanaitaji wapewe Maelelkezo!! Sio Watu wakujiongeza kama jeshi la PolisiViherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Miongoni mwa hao watu ni huyo huyo njomba nchumaliHaina haja ya wakili, Tako lake linatosha kumtoa. Akina Mange si wanasema ni Chakula ya wakubwa 🤣 atasumbuliwa kidogo kisha atatoka.
Watu wanatafuta umaarufu ili wapate masponsa wenye hela zao, tako kubwa bila sponsa ni hasara 🤣. Wengine wanatafuta umaarufu ili wapate ubunge mwakani 2025. Wengine wanataka umaarufu ili mwakani wapate tenda za kampeni kwenye uchaguzi 🤣🤣Halafu wewe hadi nimemiss umbea, sijui lini nichape kauzi tupeane ubuyu?
Hata hizi pia zitasepeshwa ndo maana watu wameona watoe kwa wananchi wanajua zitafika kuliko huko serikaliniKule Bukoba watu walichanga halafu serikali ikasepa nazo kwingine