Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.

Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?

Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Tena anakusanya kwenye account yake ya biashara.wizi mtupu
 
Hiyo pesa wala isingefika kwa wahanga ingeishiaa makalio mwake tu na wenzake
Nchi hii imejaa watu tktk tu na wanapewa airtime na wanafuatiliwa na wpmbv

Ova
Wamenunua visoda na vimaji + juice kama za laki kazaa ili kudanganya umma.....iliyobaki walikuwa waweke ta.koni niffa jambazi la kike shenzi kabisa
 
Kwasababu anamdomo sana akionywa kwa maneno haitatosha achunguzwe chanzo cha mapato yake, ni muda gani kafanya biashara, record zake za kulipa kodi TRA zichunguzwe ikionekana kodi anayolipa haina uwiano na biashara zake afunguliwe kesi ya kukwepa kodi, liunganishwe na kosa la kukusanya fedha kwa jamii bila kufata sheria na afunguliwe kesi ya utakatishaji fedha akihangaika na hiyo kesi isiyo na dhamana hata akitoka itakua ni onyo zuri

Ha ha Haa
Aanze na waliopata sauti mtandaoni kisa kawazidi akili. Hao hata Ulmaziwa ya Unga wanauza nilisikia watu wakisema.
 
Huyo aliyeagiza mchangishaji akamatwe ndio tapeli na muongo namba moja aliwadanganya watu Magufuli yuko imara anasoma mafile kumbe ameshajifia Mzena.

2021 alitumia kodi za wananchi kuunda tume ya kuchunguza tukio la moto hapo hapo Kariakoo leo hii ni miaka 3 tume haijawahi kuleta matokeo ya uchunguzi wake.

Polisi nao kwakuwa ni division four yakipigiwa mluzi kama mbwa hayo yashaenda kukamata.
Hv una akili mimi naona kama huna vile!!??
 
Asome pamoja na sheria ya Maafa ambayo inasema siyo kosa kuchangisha kosa ni kutozipeleka fedha kwa kamati ya maafa. Swali ni je mchangishaji alikuwa amefika mwisho wa kuchangisha? Je, kuna dalili kwamba hakuwa tayari kuziwasilisha katika kamati hiyo?
Dalili zipo yeye badala ya kuwasilisha sehemu husika alianza kuzitumia kwa kununua vijuice na soda na maji ya kudanganyia umma
 
Mchi inaviingozi wa hovyo sana kiongozi haiwezekani atoe amri eti mkamateni huyo halafu ndio uchunguzi ufanyike ili kujua nani amempa kibali.
Ilitakiwa aagize jeshi lichunguze kwanza na likigundua kuna makosa ndio akamatwe.
Hii inanikumbusha PM Lowasa (Mungu aendelee kumpumzisha alipojichaguli)
Lilipoanguka ghorofa la changombe village keko mwaka 2006
Alipofika eneo la tukio lowasa alipiga sana mkwara halafu akauliza Injinia wa manispaa kama yupo.
Wakati jengo linaangu Injinia wa manispaa kulikuwa hakuna na kwa wakati huo kulikuwa na uhaba sana wa mainjinia huko kwenye halmashauri.
Brother angu Ayub ndio alikuwa ameajiriwa na amepangiwa manispaa ya temeke hana muda mrefu.
Hilo jengo la changombe village lilijengwa na kukamilika wakati huyo injinia ayubu bado hajaajiriwa temeke.
Kwa hiyo Marehemu Lowasa alivyouliza Injinia wa Manispaa yupo wapi Injinia Ayub akajitokeza akasema nipo hapa PM.
Marehemu Lowasa alivyomuana akatoa maelekezo kwa RPC Injinia Ayubu awekwe ndani kwani amekuwa mzembe na kusababisha jengo kuanguka.
Jamaa akakamatwa akawekwa ndani gerezani keko Miezi 6 ndipo upelelezi ukakamilika ikaonekana Injinia Ayub Bahati hausiki na utoaji wa kibali wa ujenzi wa hilo ghorofa kwani aliajiriwa wakati jengo limeshajengwa ndipo akajakuachiwa na kuendelea na ajira yake.
Embu angalie Marehemu Lowasa alivyomkerehesha huyo Injinia Ayubu kwa maagizo yake tu yasiyo na busara na yakukurupuka.
Viongozi wanatakiwa wajiepushe kutoa maagizo ya WEKA NDANI HUYO, KAMATA HUYO badala yake watoe maagizo ya kufanyika uchunguzi kwanza kabla ya kukamata na kuweka ndani.
Unamkamata mtu ,unakuja kufanya uchunguzi inagundulika aliyekamatwa hana hatia inasikitisha sana
Wanakamatwa ili wasifiche ushahidi usiwe mjinga sana
 
Hebu nisaidie,hivi Resty kale kaduna kake ka vipodozi ndio kanampaga maisha yotee au ana uwekezaji mwingine ukiachana na ule wa samaki Thomas uliokufa?

Ha ha haaaa nilisikia ni
Maziwa ya watoto ya unga..

Hafatwi tena ndio maana visirani anafikiri Niffer kawa kama yeye kupewa short cuts.

Naye inabidi revenue watembee nae tu
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.

Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu Niffer atafutwe ili aeleze nani ambaye alimpa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia tukio hilo kwa sababu Serikali ina utaribu wake katika mafaa kama haya.

Pia, Soma: Maafa Kariakoo: Usichangishe fedha tumia akaunti ya Serikali

Aidha baada ya agizo hilo majibu yakatolewa eneo la Kariakoo wakati Waziri Mkuu anazungumza kwamba Mfanyabiashara Niffer ameshapatikana.
Mbona zilizochangwa Arusha na Mridho Gambo alituahidi atajenga hospitali mpaka leo hatujaiona wala haupo mradi huo!!
 
Mchi inaviingozi wa hovyo sana kiongozi haiwezekani atoe amri eti mkamateni huyo halafu ndio uchunguzi ufanyike ili kujua nani amempa kibali.
Ilitakiwa aagize jeshi lichunguze kwanza na likigundua kuna makosa ndio akamatwe.
Hii inanikumbusha PM Lowasa (Mungu aendelee kumpumzisha alipojichaguli)
Lilipoanguka ghorofa la changombe village keko mwaka 2006
Alipofika eneo la tukio lowasa alipiga sana mkwara halafu akauliza Injinia wa manispaa kama yupo.
Wakati jengo linaangu Injinia wa manispaa kulikuwa hakuna na kwa wakati huo kulikuwa na uhaba sana wa mainjinia huko kwenye halmashauri.
Brother angu Ayub ndio alikuwa ameajiriwa na amepangiwa manispaa ya temeke hana muda mrefu.
Hilo jengo la changombe village lilijengwa na kukamilika wakati huyo injinia ayubu bado hajaajiriwa temeke.
Kwa hiyo Marehemu Lowasa alivyouliza Injinia wa Manispaa yupo wapi Injinia Ayub akajitokeza akasema nipo hapa PM.
Marehemu Lowasa alivyomuana akatoa maelekezo kwa RPC Injinia Ayubu awekwe ndani kwani amekuwa mzembe na kusababisha jengo kuanguka.
Jamaa akakamatwa akawekwa ndani gerezani keko Miezi 6 ndipo upelelezi ukakamilika ikaonekana Injinia Ayub Bahati hausiki na utoaji wa kibali wa ujenzi wa hilo ghorofa kwani aliajiriwa wakati jengo limeshajengwa ndipo akajakuachiwa na kuendelea na ajira yake.
Embu angalie Marehemu Lowasa alivyomkerehesha huyo Injinia Ayubu kwa maagizo yake tu yasiyo na busara na yakukurupuka.
Viongozi wanatakiwa wajiepushe kutoa maagizo ya WEKA NDANI HUYO, KAMATA HUYO badala yake watoe maagizo ya kufanyika uchunguzi kwanza kabla ya kukamata na kuweka ndani.
Unamkamata mtu ,unakuja kufanya uchunguzi inagundulika aliyekamatwa hana hatia inasikitisha sana
Na huyo injinia Ayubu hakudai hata sh.100 kwa kusulubiwa bila hatia!? Mjomba Ayubu ana roho nzuri kweli!🤣
 
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Askari wenyewe wana vitambi yaani ni mabonge nyanya watspata wapi akili ya kukimbizana na matapeli?

Siwalaumu hao manjagu vibonge ila namlaumu aliyewapa kazi ya uaskari vibonge 😂😂
 
Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.

Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?

Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Samahan dada kwani ni nifer wewe au yule mwingine?
 
Back
Top Bottom