Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Kama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?

Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?

Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo
Una IQ ndogo sana. Alichofanya ni utapeli na utakatishaji pesa.
 
Kama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?

Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?

Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo
Umoja wa wafanya biashara hawana Magroup yao? hawana Account za vikundi? mpaka kwenye mitandao ya kijamii??
 
Kwani kuna shida gani mfano kama nifa ana mjomba na binamu wake wa Mikese huko na ni wahanga wa tukio la gorofa na wako hospital na uwezo wa kuwahudumia familia hawana kwahiyo nifa ameenda mtandaoni kuomba msaada wasamalia wema wamsaidie kuuguza ndugu zake .
Hapo amekanyagaje waya??
Nauliza tu wajemeni?
 
Mchi inaviingozi wa hovyo sana kiongozi haiwezekani atoe amri eti mkamateni huyo halafu ndio uchunguzi ufanyike ili kujua nani amempa kibali.
Ilitakiwa aagize jeshi lichunguze kwanza na likigundua kuna makosa ndio akamatwe.
Hii inanikumbusha PM Lowasa (Mungu aendelee kumpumzisha alipojichaguli)
Lilipoanguka ghorofa la changombe village keko mwaka 2006
Alipofika eneo la tukio lowasa alipiga sana mkwara halafu akauliza Injinia wa manispaa kama yupo.
Wakati jengo linaangu Injinia wa manispaa kulikuwa hakuna na kwa wakati huo kulikuwa na uhaba sana wa mainjinia huko kwenye halmashauri.
Brother angu Ayub ndio alikuwa ameajiriwa na amepangiwa manispaa ya temeke hana muda mrefu.
Hilo jengo la changombe village lilijengwa na kukamilika wakati huyo injinia ayubu bado hajaajiriwa temeke.
Kwa hiyo Marehemu Lowasa alivyouliza Injinia wa Manispaa yupo wapi Injinia Ayub akajitokeza akasema nipo hapa PM.
Marehemu Lowasa alivyomuana akatoa maelekezo kwa RPC Injinia Ayubu awekwe ndani kwani amekuwa mzembe na kusababisha jengo kuanguka.
Jamaa akakamatwa akawekwa ndani gerezani keko Miezi 6 ndipo upelelezi ukakamilika ikaonekana Injinia Ayub Bahati hausiki na utoaji wa kibali wa ujenzi wa hilo ghorofa kwani aliajiriwa wakati jengo limeshajengwa ndipo akajakuachiwa na kuendelea na ajira yake.
Embu angalie Marehemu Lowasa alivyomkerehesha huyo Injinia Ayubu kwa maagizo yake tu yasiyo na busara na yakukurupuka.
Viongozi wanatakiwa wajiepushe kutoa maagizo ya WEKA NDANI HUYO, KAMATA HUYO badala yake watoe maagizo ya kufanyika uchunguzi kwanza kabla ya kukamata na kuweka ndani.
Unamkamata mtu ,unakuja kufanya uchunguzi inagundulika aliyekamatwa hana hatia inasikitisha sana
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.

Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu Niffer atafutwe ili aeleze nani ambaye alimpa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia tukio hilo kwa sababu Serikali ina utaribu wake katika mafaa kama haya.

Pia, Soma: Maafa Kariakoo: Usichangishe fedha tumia akaunti ya Serikali

Aidha baada ya agizo hilo majibu yakatolewa eneo la Kariakoo wakati Waziri Mkuu anazungumza kwamba Mfanyabiashara Dada apewe maua yake inaonyesha ni jinsi gani jamii ya wafanyabiashara wenzie wanavyo muamini sana angekuwa haaminiki asingeweza kukusanya pesa nyingi namna hiyo kwa muda mfupi wanao mfahamu angekuwa haaminiki hata elfu kumi asinge pata na kwa kiasi kikubwa walio changa ni wafanyabiashara
 
We unaambiwa PM katoa maagizo unaleta mambo ya wakili.
Kwani PM ni Sheria au Mahakama? Ikijulikana kwamba Wana Umoja wao wa wafanyabishara kama social group ulizo nazo kwenye whatsap za kusaidiana wakati wa shida na Raha na wamekubaliana hivyo,? Utakuja kujibu nini
 
Mchi inaviingozi wa hovyo sana kiongozi haiwezekani atoe amri eti mkamateni huyo halafu ndio uchunguzi ufanyike ili kujua nani amempa kibali.
Ilitakiwa aagize jeshi lichunguze kwanza na likigundua kuna makosa ndio akamatwe.
Hii inanikumbusha PM Lowasa (Mungu aendelee kumpumzisha alipojichaguli)
Lilipoanguka ghorofa la changombe village keko mwaka 2006
Alipofika eneo la tukio lowasa alipiga sana mkwara halafu akauliza Injinia wa manispaa kama yupo.
Wakati jengo linaangu Injinia wa manispaa kulikuwa hakuna na kwa wakati huo kulikuwa na uhaba sana wa mainjinia huko kwenye halmashauri.
Brother angu Ayub ndio alikuwa ameajiriwa na amepangiwa manispaa ya temeke hana muda mrefu.
Hilo jengo la changombe village lilijengwa na kukamilika wakati huyo injinia ayubu bado hajaajiriwa temeke.
Kwa hiyo Marehemu Lowasa alivyouliza Injinia wa Manispaa yupo wapi Injinia Ayub akajitokeza akasema nipo hapa PM.
Marehemu Lowasa alivyomuana akatoa maelekezo kwa RPC Injinia Ayubu awekwe ndani kwani amekuwa mzembe na kusababisha jengo kuanguka.
Jamaa akakamatwa akawekwa ndani gerezani keko Miezi 6 ndipo upelelezi ukakamilika ikaonekana Injinia Ayub Bahati hausiki na utoaji wa kibali wa ujenzi wa hilo ghorofa kwani aliajiriwa wakati jengo limeshajengwa ndipo akajakuachiwa na kuendelea na ajira yake.
Embu angalie Marehemu Lowasa alivyomkerehesha huyo Injinia Ayubu kwa maagizo yake tu yasiyo na busara na yakukurupuka.
Viongozi wanatakiwa wajiepushe kutoa maagizo ya WEKA NDANI HUYO, KAMATA HUYO badala yake watoe maagizo ya kufanyika uchunguzi kwanza kabla ya kukamata na kuweka ndani.
Unamkamata mtu ,unakuja kufanya uchunguzi inagundulika aliyekamatwa hana hatia inasikitisha sana
When the rule of law is only on papers
 
Dada apewe maua yake inaonyesha ni jinsi gani jamii ya wafanyabiashara wenzie wanavyo muamini sana angekuwa haaminiki asingeweza kukusanya pesa nyingi namna hiyo kwa muda mfupi wanao mfahamu angekuwa haaminiki hata elfu kumi asinge pata na kwa kiasi kikubwa walio changa ni wafanyabiashara wenzie wanao mfahamu
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.

Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu Niffer atafutwe ili aeleze nani ambaye alimpa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia tukio hilo kwa sababu Serikali ina utaribu wake katika mafaa kama haya.

Pia, Soma: Maafa Kariakoo: Usichangishe fedha tumia akaunti ya Serikali

Aidha baada ya agizo hilo majibu yakatolewa eneo la Kariakoo wakati Waziri Mkuu anazungumza kwamba Mfanyabiashara Niffer ameshapatikana.

Kuna matapeli wengi sana nchi. na wamevamia fani.
 
Baada ya serikali kuboronga ktk zoezi la kuokoa waliofukiwa na ghorofa, sasa naona inatafuta "nitoke vipi" kwa kumkalia kooni Niffer.

Niffer alikuwa na dhamira njema, badala ya kumsulubu kilichotakiwa ni kumpa muongozo wa namna ya kuendesha zoezi lake la kukusanya michango. Ama kama serikali inaona yenyewe ndiyo yenye haki pekee basi imkataze tu.


Kuchangishana ktk maafa hakujaanza leo. Ni vikundi vingapi vilipeleka misaada kule Hanang na Kagera? Mnajua hiyo misaada ya hivyo vikundi ilipatikana vipi? Sasa kama ilipatikana kwa njia ya kuchangishana, cha ajabu ni kipi kwa Niffer?

Badala ya serikali kuwaomba radhi watanzania kwa uzembe wa kushindwa kuokoa waliofukiwa kwa wakati, inageuza kibao kwa Niffer aliyekuwa na dhamira njema.
Lengo ni ili ionekane imefanya kazi fulani, wakati imeshindwa kufanya kazi yake ya msingi.

Aibu naona mimi.
Huyo Niffer kafanywa Tu kama mbuzi WA kafara ili ku divert mjadala
 
Ujue serikali hii, unaona kabisa kuna watu ni zero brain, mtu akitumia umaarufu wake kuraise michango kuna shida gani, mie huyo niffer simjui, lakini mfano kama mwakinyo, akiraise michango kuna watu watapata msukumo sababu ya mwakinyo, kuna fans wa Diamond, simba sc ama yanga sc wakianzisha kuna watu watavutika kuchanga sababu ya simba ama yanga.

Huenda kukawa kuna kaupigaji kweli, mie sikatai mjini kila mtu anaweza tumia matatizo kama fursa, lakini jinsi walivyochukua hatua sio vizuri, kesho kutwa litatokea janga, mtu maarufu akaogopa kulivalia njuga.
Kati ya huyo binti niffer na serikali nani wa kwanza kuweka utaratibu wa kuchangia.
Kama ni huyo binti serikali ilikuwa wapi kutoa muongozo?
Hakuna haja ya kutoa muongozo sheria ipo. Ukitaka kuchangisha pesa kutoka kwa umma ni lazima uwe na kibali.
 
Riziki mwanzo wa chuki dear
Niffah ameonesha uwezo mkubwa wa beuty with brain ile division 1.7 yake ya halali,anajipambania mnoo
Hata kama anadanga ila anadanga kwa akili hawa wengine wameshtuka uzeeni ndo maana wanamchukia mnoo niffer amechelewa kuja mjini ila kawazidi parefuuu kiujanja
Hakuna kitu kinaitwa kudanga kwa akili dhambi ni dhambi tu na ni chukizo kwa Mungu
 
Kama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?

Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?

Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo
Aibu kubwa sana Hilo lilikuwa la caharamila hata yeye ni basi tu kazi ya police hiyo
 
Back
Top Bottom