Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

Naona sasa akili zime anza kuwarudia.
Inge kuwa juzi wange sema hako nae.
Ila jinsi walivyo mkamata hadi kumchania nguo bado sio taratibu za ukamataji
 
TAARIFA YA DHARURA

Mh Boniface Jacob amekamatwa muda huu na polisi wenye difenda muda huu maeneo ya Sinza na haijajulikana amepelekwa wapi.

C&p
 
Mumpeleke mahakamani muda sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…