Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

Jeshi la Polisi: Tumemkamata Boniface Jacob kwa makosa ya Jinai anayotuhumiwa nayo

Siitaki sana niseme kitu hapaa ,lkn angetuambia anatuhumiwa kwa makosa gani ya Jinai ,ili tujue ,pili watanzania tusiwe na chuki zidi ya watu

mimi nimefikiria uchaguzi wa kanda ya pwani unatarajiwa kufanyika ivi karibuni na usahili unaendelea hivyo ni mbinu za kumfanya asihudhurie uchaguzi maana nasikia ni mgombea
Kaka utajiri
Atoe ushirikiano jeshi la polisi ni sehemu salama tu!
Kabisa na hakiwa mbishi wataminya kende
 
View attachment 3099730
Jeshi la Polisi limemkamata na lina mshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.

Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi
Dodoma, Tanzania.

Pia soma: Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
Bado na wengine!
 
View attachment 3099730
Jeshi la Polisi limemkamata na lina mshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.

Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa.

Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi
Dodoma, Tanzania.

Pia soma: Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
Boniface aachiwe mara moja, watu tumechoka na unyanyasaji kwa wanasiasa hapa Tanzania.
 
Big kashindwa kuwapunch police na mwili woote ule?

Sasa anafuga mwili Mkubwa kama nguruwe kama ule wa kazi Gani.?
Urushe ngumi si ndo unawapa sababu ya kukuchakaza kwamba unemshambulia afisa wa usalama....kuna maisha ukishayachagua basi kubali na consequences zake pia....Big ni mmoja wa watu waliokuwa na kauli ngumu sana....wacha tuone makosa anayotuhumiwa nayo
 
Back
Top Bottom