THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Uko sahihi,Ndugu inaonekana kwako suala usalama nchi yako unaliona mikononi mwa polisi tuu.Hiv hujiulz hiyo kamata kamata,teka teka na potea potea ya watu inaacha makovu kias gan kwa raia!??.Unajua kwamb taifa lina watu wangap waliokata tamaa!?,majobless!?walio umizwa na dola!?...kikubwa nkwamba tuombe saana Jeshi la polisi liendelee kuaminika na watz kama ilvyo JWTZ.Kamata kamata inaleta uoga na sio kuaminika sas hilo linatengeneza chuki na dharau kwa jeshi huska.
Matumiz ya nguvu yawe lazma pale inapobid yasiwe fashion bnadam sio ng'ombe akitokwa na ubindam wake kinakuwa kiumbe kingne.
WANANCHI WOTE+WANASAIASA+JESHI LA POLISI TUNALUGHA MOJA NA SIS SIO MAADUI HATA KIDOGO. Viva UMOJA TZ ya JANA,LEO NA KESHO.
LAKINI wewe si umemskia Wilbroad Slaa aliposema kuwa sometimes walikuwa wanajiteka wenyewe?
Hakuna anaefurahia watu kutekwa au kumwagwa damu.