Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Mimi nimebeba Nyundo ya EU usilie baadaeeMwenzako kakamatwa bado wewe akili kubwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimebeba Nyundo ya EU usilie baadaeeMwenzako kakamatwa bado wewe akili kubwa!
Makosa ya jinai yanayo dhamanaAisee kumbe alikuwa anamakosa ya jinai.? Kwaiyo hapo hakuna hata kumtoa kwa dhamana.?
Unafurahia badala ya kulia teh teh tehNenda Polisi ukamsaidie ndugu yako Bon Yai acha blabla za mitandaoni au hata TZ haupo ila maneno mengiii!!
Wewe upo polisi au wewe ni polisi?Nenda Polisi ukamsaidie ndugu yako Bon
Mimi kutokuwepo TZ inakuumiza?Yai acha blabla za mitandaoni au hata TZ haupo ila maneno mengiii!!
Huna lolote kamuulize Bon Yai walivyombeba mzobemzobe hapo Sinza. Kumbe hilo limwili lake ni mapovu tupu hakuna kitu nasikia alitaka kuleta ujinga wakamnyoosha katika muda mfupi tu na akatupwa kwenye defender na hakuna MTZ aliyemsaidia alifikiri makamanda wa mitandaoni watamsaidia.Mimi nimebeba Nyundo ya EU usilie baadaee
Tumechoka na ngonjera zenu Rais amewabebeleza sana toka aingie madarakani anawabembeleza tuu sasa kazi imeanza.Unafurahia badala ya kulia teh teh teh
Vipi ndugu yako Bon Yai ametekwa au?JESHI LA POLISI NA UHASAMA KWA RAIA.
Ulianza Zanzibar 1995.Ukamataji huu wa viongozi wa vyama vya upinzani ulianza enzi za dikteta Magufuli na unaendelezwa na Samia hii haikubaliki, she must go!
Makhuluku tabu....View attachment 3099730
Jeshi la Polisi limemkamata na lina mshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.
Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa.
Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi
Dodoma, Tanzania.
Pia soma: Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
Makhuluku tabu.....Si ajabu Mbowe, Lissu na Lema wakakamatwa pia maana waliwahi kuwa na tuhuma za jinai
Kosa lake la jinai halidhaminiki?View attachment 3099730
Jeshi la Polisi limemkamata na lina mshikilia Boniface Jacob mkazi wa Mbezi kwa Msakuzi Jijini Dar es Salaam kutokana na makosa ya kijinai anayotuhumiwa nayo.
Hivyo, wananchi wapuuze uwongo unaosambazwa mitandaoni kuwa ametekwa.
Imetolewa na:
David A. Misime - DCP Msemaji wa Jeshi la Polisi Makao Makuu ya Polisi
Dodoma, Tanzania.
Pia soma: Boniface Jacob adaiwa kukamatwa na watu waliokuja na gari aina ya defender. Kamanda Kitwinkwi asema hana taarifa hizo
Sasa ukamanda wa mitandaoni unawadanganya wenzako kumbe wewe uko kwa mabeberu. Sasa wameanza kushughulikiwa kama alivyosema RaisWewe upo polisi au wewe ni polisi?
Mimi kutokuwepo TZ inakuumiza?
Tumeanza lini kupangiana pa kuishi wakati hata wewe unaweza kuja kuishi na hujazuiwa.
Huna hoja, huna ujualo zaidi ushabiki maandazi,[QUOTE="UCD, post: 51450104, member: 9842
Wauaji ni Chadema na wameanza kukamatwa!
Hujielewi wewe kiande! Unajiroposha tu humu sijui unanufaikaje! Tangu lini jinai ikawa mauaji? Hivi ni vitu viwili tofauti mbele ya Sheria, sijui unanielewa? Punguza ujuaji!Huyu na mnyika walitakiwa kukamatwa kitambo sana hawa ndio walipanga mauaji na kuwahi mitandaoni
USSR