Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria inatuelekeza nini cha kufanya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bila shaka Ile michadema uchwara itakuwa inashangilia
 
Kwa nini wasiangalie kwanza hiyo mifumo ya sheria kabla hawajamkamata pana watu ni kutafuta Kiki tu kwani huyo Slaa akipigiwa simu aende kituo cha polisi kuhojiwa atakataa au kwa kuwa mafuta wanazoa bure ndio maana wanaona watumie tu huku Nchi ikiendelea kutangaza misaada ya mabilioni kila kukicha..
 
Tahadhari ya usalama wa Dkt. Slaa ni muhimu wakati huu wasije waka Mben Saanane.
Damu za watu hawa siku zikinena hapo Ikulu hapatakalika.
ikulu gani?
muulizeni m/kiti wenu wa kudumu mboye
kawafanya nini kina saanane
sio kusingizia wasiohusika
 
Tàtizo àkili yako inafikiri kila mtu mzee àmezaliwa kucheza na wajukuu. Hayo ni ya ukoo wenu acha Dr. Slaa acheze na haki za raia siyo acheze na wajukuu.
Hata kama ni wajukuu,majukumu mengine lazima yafanyike.
 
Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe
Iko public na amekua akitaja sana usalama

Sasa athibitishe
 
Kwa nini wasijipange kwanza ndio wamkamate?
Na je, walimuita kwa njia ya kawaida akakaidi kwenda?.
Jamani polisi badilikeni.
si huwa mnaenda nchi za wenzenu kujifunza?
Huwa mnajifunza kweli?Au kuharibu fedha zetu.
Ndio utawala wa sheria unadakwa kwanza kama mwizi ukisubiriwa ushahidi mahakamani ambako hakimu.pekee ndie hujua akuhukumu kwa kipengele gani?
 
Umesoma kitabu cha Erick kuhusu Ben Saanane kutwangwa risasi za kichwa hapo ikulu na mwandazake?
erick kachanganyikiwa
kwanini neno lake lichukiliwe kama sheria?
ameweka vielelezo vya ushahidi asemayo?
erick akisema leo ni jumatatu tumuamini?
 
Ushakulaga za CCM afu leo badala ya kukaa kwa kutulia wewe ni mwendo wa kubwabwaja kila kukicha - kazi kwako.
 
Tàtizo àkili yako inafikiri kila mtu mzee àmezaliwa kucheza na wajukuu. Hayo ni ya ukoo wenu acha Dr. Slaa acheze na haki za raia siyo acheze na wajukuu.
Naona hujajibu hata kidogo hoja ya uñafiki😜😜😜
 
Huwa nashangaa sana kuona watu walioishia form four na kupata four ya 27 wanajua sheria kuliko dkt wa sheria

Hii Nchi ina vituko sana aisee ayaa
 
Ndio maana wananchi wanapigwa za uso na kina mwamposa wakisubia miujiza huku wao wakipalilia vitambi tu
Ukiona Nchi vyombo vya Serikali vipo busy na maneno ya kwenye mitandao yaani wanakosa usingizi kwa ajili hiyo jua hao watu wamedumaa sana hakuna kitu kitakachowabadili mpaka wanazikwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…