Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

Pre GE2025 Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pelekeni watoto shule ndugu zangu isijefikia uzeeni unaona mwanao anafanya kazi ya namna hii na kuonyesha ukilaza wake dunia nzima! Aibu kubwa kwa taasisi ya namna hii kulamba kodi za nchi.
 
Erythrocyte nashauri mwenyekiti atolee tamko kuhusu ujinga huu. Hii ni kuwapaka mavi chadema. Msinyamaze lipiet . Ni mbinu za kuiangamiza chadema. Kitakachofuata ni kuifuta na msajiri
Wafute hata kesho asubuhi. Kwani ndio mwisho wa mawazo kinzani ndani ya mioyo ya watu???
 
Pelekeni watoto shule ndugu zangu isijefikia uzeeni unaona mwanao anafanya kazi ya namna hii na kuonyesha ukilaza wake dunia nzima! Aibu kubwa kwa taasisi ya namna hii kulamba kodi za nchi.
Background check ya elimu ya afisa wa polis unaweza kulia yani hawa siji wakoje ndo maaana wanakufa vifo vibaya.
 
Ni jambo la hatari, jeshi linapogeuka na kuwa kundi la maharamia. Kwa sasa nchi ipo kwenye mazingira hatari kuliko hata wakati wa ukoloni. Mambo yanayofanywa sasa hata wakati wa ukoloni hayakuwahi kufanywa.

Tumetoka kwenye ukoloni wa mzungu, tukaingia kwenye ukoloni wa mahamia weusi!!
 
Mbinu zile zile za kizamani za Mbowe anapanga kuchoma vituo vya mafuta na kukata miti na kuiweka barabarani kuanzia Dar hadi Mbeya
Ukawa na ndugu yako ukasikia ni polisi kwa kweli ni laana. Kuwa polisi kwa Tanzania ni kuamua kuwa haramia. Haya majitu yatengwe na jamii maana wamejitangaza wazi ni watu hatari kwa maisha ya wanadamu.
 
Zoom si kila mmoja anasikia sasa mtapangaje siri za zoom? UONE UONGO WA POLISI/CCM

Zoom is a communications platform that allows users to connect with video, audio, phone, and chat. Using Zoom requires an internet connection and a supported device. Most new users will want to start by creating an account and downloading the Zoom Client for Meetings.


MY TAKE MSIJISUMBUE NA UCHAGUZI, KUNA VIFO VINGI VINAKUJA KWA STAILI HII!
Wengi wao wamekosa akili na elimu, hivyo huwa wanatopoka tu, wakiamini watu wote hawana akili na maarifa kama wao.
 
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezi kujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na😀avid A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
polisi wamekuwa waongo waongo
 
Intelijesia dhaifu au tuseme mfu. Hakuna kiongozi yeyote wa Chadema ambaye ana uwezo wa kuwashawishi hawa vijana wetu ' Gen 0' Eti wavamie vituo vya Polisi. Vijana wetu wamepoteza matumaini kwa Serikali ya CCM na pia kwa vyama vya upinzani, vijana wetu wamechoka kimwili na kifkra. Ndiyo maana wanaona betting Ndiyo mkombozi wao, mfano mdogo kijana kamaliza chuo kikuu miaka 7 hajapata ajira, mitaani hata nyumbani wana simangwa na serikali wana waambia wajiajili. Kivipi? Hawana mtaji hawana mazingira wezeshi nk. Mbona watoto wao hawajiajili kama ni rahisi? Watoto wao wa chama tawala na wainzani wameajiriwa kwenye mashirika yote yenye mishahara minono na vitengo vya serikali. Achilia mbali kazi za uteuzi kama wakurugenzi, wakuu wa wilaya na uwaziri ni kazi za watoto wa wakubwa. Hakuna kijana wa Kitanzania utanuona anafanya kile Gen Z walifanya hapo kwa Ruto.
 
Kasi ya kukanusha ni kubwa sana kiasi kwamba saikolojia inaonesha tukio hili lina ukweli 100%
 
DSTV Tanzania Wana tangazo lao linalohamasisha kuanza Kwa msimu mpya na kurejea Kwa ligi mbalimbali za Soka duniani. Tangazo hili linamaanisha mapambano (Mechi) za soka zitakuwa BANDIKA BANDUA, TOA NIWEKE, PIGA NIKUPIGE.
Hii Sasa imeingia kwenye siasa na utendaji wa Jeshi la Polisi. Baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo kulituhumu Jeshi la Polisi Tanzania Kuteka, kutesa na kupoteza bàadhi ya viongozi wake na wanaharakati, Jeshi la Polisi limeamua kujibu mapigo nalo limetoka hadharani na kutamka Bampa to Bampa kwamba "CHADEMA wanaotutuhumu Sisi kuwateka na kuwatesa, wamepanga kutuma Vijana 20 kuvamia vituo Jijini Dar es salaam".
Hii ndo Polisi Tanzania, UKIWEKA UGOKO WANAWEKA JIWE. Ukiwatuhumu wanakutuhumu. Tusishangae tuendako UKIWATUKANA WANAKUTUKANA. Ama kweli maisha yanakwenda Kasi Sana, Enzi za Ngunguli na Ngangali zimerejea. Mambo mkangaja huenda yakaja.
 
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezi kujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na😀avid A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
ACP David Misime umeingia katika mfumo wetu kizembe sana..!

1. You look Smart ila kwa hili la Viongozi wa CHADEMA na Kikao cha ZOOM umejidhalilisha sana.

Kachero mzuri ni yule anaye hakiki taarifa zake kabla ya kuziweka hadharani au kuzitumia

Au tuseme na wewe umeingia katika kambi za Kutafuta IGP mpya...?

2.Statement ya Jeshi la Polisi leo ni Kielelezo cha namna mnavyowadanganya Viongozi wa Serikali na kutumia upofu wao kutimiza ajenda zenu.

3.Katika Statement yenu ya leo, Jeshi la Polisi limejibebesha gunia la misumari ya uthibitisho (Burden of Proof).

Mtatakiwa muonyesha Dunia na wananchi hiyo Video ya zoom yenye maazimio ya Kutaka Kuvamia vituo vya Polisi kama ambavyo taarifa zenu za uhakika zinavyosema

Msipoonyesha hadharani au hata kwa Viongozi wenu wa serikali basi Statement yenu ichukuliwe kuwa mlikuwa na nia ovu ya kumdanganya Rais na kutaka kusababisha machafuko nchini.

4.Msipoonyesha Dunia na wananchi hiyo video ya zoom ya Kikao cha Viongozi wa CHADEMA ichukuliwe kuwa mmefanya ujanja wa kutufundisha CHADEMA kuvamia vituo vyenu vya Polisi baada ya kutuona sisi tumezubaa

Waliosoma CUBA watajua kuwa Jeshi la Polisi mmeongea na CHADEMA katika lugha ambayo viongozi wenu wa Serikali ya CCM hawatoijua wala kushtukia kuwa mnatufikishia ujumbe huo.

Na vijana wa chadema watalishukuru Jeshi la Polisi kwa kutupatia mbinu ya Kukomesha utekaji na mauaji kama mlivyoshauri.

5.Mwisho nawapeni Offer Jeshi la polisi kama mkifanikiwa kuonyesa hiyo Video ya Zoom ya Viongozi wa CHADEMA wakipanga kuvamia vituo vya polisi wakiwa makundi ya watu 20 kila kituo

Basi mimi Boniface Jacob nitaacha siasa na kujiondoa CHADEMA.

Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595
The voice of the silenced Majority.
 
ACP David Misime umeingia katika mfumo wetu kizembe sana..!

1. You look Smart ila kwa hili la Viongozi wa CHADEMA na Kikao cha ZOOM umejidhalilisha sana.

Kachero mzuri ni yule anaye hakiki taarifa zake kabla ya kuziweka hadharani au kuzitumia

Au tuseme na wewe umeingia katika kambi za Kutafuta IGP mpya...?

2.Statement ya Jeshi la Polisi leo ni Kielelezo cha namna mnavyowadanganya Viongozi wa Serikali na kutumia upofu wao kutimiza ajenda zenu.

3.Katika Statement yenu ya leo, Jeshi la Polisi limejibebesha gunia la misumari ya uthibitisho (Burden of Proof).

Mtatakiwa muonyesha Dunia na wananchi hiyo Video ya zoom yenye maazimio ya Kutaka Kuvamia vituo vya Polisi kama ambavyo taarifa zenu za uhakika zinavyosema

Msipoonyesha hadharani au hata kwa Viongozi wenu wa serikali basi Statement yenu ichukuliwe kuwa mlikuwa na nia ovu ya kumdanganya Rais na kutaka kusababisha machafuko nchini.

4.Msipoonyesha Dunia na wananchi hiyo video ya zoom ya Kikao cha Viongozi wa CHADEMA ichukuliwe kuwa mmefanya ujanja wa kutufundisha CHADEMA kuvamia vituo vyenu vya Polisi baada ya kutuona sisi tumezubaa

Waliosoma CUBA watajua kuwa Jeshi la Polisi mmeongea na CHADEMA katika lugha ambayo viongozi wenu wa Serikali ya CCM hawatoijua wala kushtukia kuwa mnatufikishia ujumbe huo.

Na vijana wa chadema watalishukuru Jeshi la Polisi kwa kutupatia mbinu ya Kukomesha utekaji na mauaji kama mlivyoshauri.

5.Mwisho nawapeni Offer Jeshi la polisi kama mkifanikiwa kuonyesa hiyo Video ya Zoom ya Viongozi wa CHADEMA wakipanga kuvamia vituo vya polisi wakiwa makundi ya watu 20 kila kituo

Basi mimi Boniface Jacob nitaacha siasa na kujiondoa CHADEMA.

Boniface Jacob
Ex-Mayor
0712 239 595
The voice of the silenced Majority.
Ukitaka ujue hii ni HOax angalia tu kama watafungua kesi, maana mle wata demand evidence kitu ambacho hawana. Ndipo watakuwa wamejivua nguo
 
Back
Top Bottom