Jeshi la polisi unapokuwa na kesi uchukua simu au kompyuta ubaki nazo na mwisho wa siku unakuta wanaziuza kwa wauza simu mtaani

Jeshi la polisi unapokuwa na kesi uchukua simu au kompyuta ubaki nazo na mwisho wa siku unakuta wanaziuza kwa wauza simu mtaani

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kuna tatizo sana la jeshi la polisi kwa upande wa ukamataji kama kutakuwa na kesi ukimbilia simu au kompyuta kwa sababu wanazojua wao.

Mapolisi wengi wana hii tabia na mwisho wa siku simu yako inauzwa mtaani.
 
Back
Top Bottom