Jeshi la polisi wanalichukulia poa sana Neno ugaidi.. kwa akili yao finyu hawajui km wanaichafua nchi!

Jeshi la polisi wanalichukulia poa sana Neno ugaidi.. kwa akili yao finyu hawajui km wanaichafua nchi!

Duplicate_90

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2020
Posts
272
Reaction score
308
Hivi karibuni jeshi la polisi nchini Tanzania limekuwa na mazoea ya kutumia neno Gaidi na Ugaidi katika nchi yetu inayosemekana kuwa ni kisiwa cha amani!
Kwa matukio ya hivi karibuni hususani lile la mbowe la kupewa kesi ya ugaidi na hili la ndugu hamza ambalo IGP Siro amesubutu kumuita Gaidi ni dhahiri kuwa sura ya tz kimataifa kwa sasa inachukuliwa km nchi yenye ugaidi. Hii ni tishio kubwa kwa uchumi wa taifa letu! Viongozi wetu na ccm aidha kwa makusudi au kwa ufinyu wa akili wanafikiri wanawakomoa wahusika kumbe ni kulichafua taifa na kulipaka matope mbele ya mataifa! Ni wakati sasa kwa serikali na jeshi la polisi kujitafakari na kuacha propaganda za hovyo zitakazoliangamiza taifa!! Hili la denmark kufunga ubalozi wake hapa tz linaweza kuhusianishwa na masuala haya pamoja na ukandamizaji wa demokrasia nchini!!
 
IMG_0482.jpg
 
Kama polisi wetu ndo wanapiga risasi vile, basi hatuna polisi.
 
Kwa kweli, sijui mtalii gani mjinga huyo atakuja Tz. IGP kadai kuna ugaidi, muda mchache tunaona tukio la kigaidi. Kama walifanya siasa, basi wajue zinakwenda kuathiri hali ya utalii kwa sasa. Pia, hii miezi ambayo watalii hufurika kila kona ya Tz.
 
Hivi karibuni jeshi la polisi nchini Tanzania limekuwa na mazoea ya kutumia neno Gaidi na Ugaidi katika nchi yetu inayosemekana kuwa ni kisiwa cha amani!
Kwa matukio ya hivi karibuni hususani lile la mbowe la kupewa kesi ya ugaidi na hili la ndugu hamza ambalo IGP Siro amesubutu kumuita Gaidi ni dhahiri kuwa sura ya tz kimataifa kwa sasa inachukuliwa km nchi yenye ugaidi. Hii ni tishio kubwa kwa uchumi wa taifa letu! Viongozi wetu na ccm aidha kwa makusudi au kwa ufinyu wa akili wanafikiri wanawakomoa wahusika kumbe ni kulichafua taifa na kulipaka matope mbele ya mataifa! Ni wakati sasa kwa serikali na jeshi la polisi kujitafakari na kuacha propaganda za hovyo zitakazoliangamiza taifa!! Hili la denmark kufunga ubalozi wake hapa tz linaweza kuhusianishwa na masuala haya pamoja na ukandamizaji wa demokrasia nchini!!
Hamza sio gaidi
 
Kwa kweli, sijui mtalii gani mjinga huyo atakuja Tz. IGP kadai kuna ugaidi, muda mchache tunaona tukio la kigaidi. Kama walifanya siasa, basi wajue zinakwenda kuathiri hali ya utalii kwa sasa. Pia, hii miezi ambayo watalii hufurika kila kona ya Tz.
Watalii wataacha kuja kwa sababu Polisiccm wametangaza Tanzania kuna magaidi
 
Hivi karibuni jeshi la polisi nchini Tanzania limekuwa na mazoea ya kutumia neno Gaidi na Ugaidi katika nchi yetu inayosemekana kuwa ni kisiwa cha amani!
Kwa matukio ya hivi karibuni hususani lile la mbowe la kupewa kesi ya ugaidi na hili la ndugu hamza ambalo IGP Siro amesubutu kumuita Gaidi ni dhahiri kuwa sura ya tz kimataifa kwa sasa inachukuliwa km nchi yenye ugaidi. Hii ni tishio kubwa kwa uchumi wa taifa letu! Viongozi wetu na ccm aidha kwa makusudi au kwa ufinyu wa akili wanafikiri wanawakomoa wahusika kumbe ni kulichafua taifa na kulipaka matope mbele ya mataifa! Ni wakati sasa kwa serikali na jeshi la polisi kujitafakari na kuacha propaganda za hovyo zitakazoliangamiza taifa!! Hili la denmark kufunga ubalozi wake hapa tz linaweza kuhusianishwa na masuala haya pamoja na ukandamizaji wa demokrasia nchini!!
Hata huu uchunguzi wa kienyeji kishamba wa kwenda upanga kuwakamata ndugu familia ya Hamza wote kwa shambulio la Hamza ambaye alifanya maamuzi peke yake ni uonevu na pia itawatisha watalii wataone kuwa Tanzania anafanya kosa mwingine lakini anaadhibiwa na kuteswa mwingine
 
Hata huu uchunguzi wa kienyeji kishamba wa kwenda upanga kuwakamata ndugu familia ya Hamza wote kwa shambulio la Hamza ambaye alifanya maamuzi peke yake ni uonevu na pia itawatisha watalii wataone kuwa Tanzania anafanya kosa mwingine lakini anaadhibiwa na kuteswa mwingine

Tafuta habari za Gazza ujifunze kitu kwenye vita vya ugaidi kupitia Israel inavyoshughulikia magaidi hapo Gazza. Wakisha muua gaidi husika wanahakikisha vitega uchumi vyote na mali nyingine alizozichuma kupitia ugaidi zikiwemo za familia yake zina sambaratishwa. Ugaidi ni biashara inayo singizia kumpigania Allah kama agenda ya kuhalalisha uovyo unaombatana na biashara hii.
 
Tafuta habari za Gazza ujifunze kitu kwenye vita vya ugaidi kupitia Israel inavyoshughukikia magaidi hapo Gazza. Wakisha muua gaidi husika wanahakikisha vitega uchumi vyote na mali nyingine alizozichuma kupitia ugaidi zikiwemo za familia yake zina sambaratishwa. Ugaidi ni biashara inayo singizia kumpigania Allah kama agenda ya kuhalalisha uovyo unaombatana na biashara hii.
Kwa tz sioni ugaidi wa gazza wanaosingiziwa kuwa n magaidi n wahanga wa ukandamizaji wa polisi tz na ccm!
 
Kwa tz sioni ugaidi wa gazza wanaosingiziwa kuwa n magaidi n wahanga wa ukandamizaji wa polisi tz na ccm!


Endeleeni kuhangaika na mlipo angukia mkiacha kutafuta mlijikwaa wapi? Tegemeeni kuanguka tena.Yule aliyepiga tukio ubalazi wa USA alikuwa si mtanzania ni mkandahari sio?
 
Hawanaga akili hawa.. wenyewe wanachojali ni kuilinda CCM tu itawale
 
Back
Top Bottom