Jeshi la polisi wanalichukulia poa sana Neno ugaidi.. kwa akili yao finyu hawajui km wanaichafua nchi!

Jeshi la polisi wanalichukulia poa sana Neno ugaidi.. kwa akili yao finyu hawajui km wanaichafua nchi!

Tafuta habari za Gazza ujifunze kitu kwenye vita vya ugaidi kupitia Israel inavyoshughulikia magaidi hapo Gazza. Wakisha muua gaidi husika wanahakikisha vitega uchumi vyote na mali nyingine alizozichuma kupitia ugaidi zikiwemo za familia yake zina sambaratishwa. Ugaidi ni biashara inayo singizia kumpigania Allah kama agenda ya kuhalalisha uovyo unaombatana na biashara hii.
Kwanza wewe ni mjinga, unayetaka kueneza ujinga kwa watu wasio wajinga, utaweza?

Gaza, hapo hao wanaopigania uhuru wao wewe unawaita magaidi? hivi unazo akili timamu kichwani?

Halafu unataka wanayofanya Israel ndiyo tuyakubali hapa hata kama wanafanya uhalifu?
Na inawezekana watu kama wewe ndio mliojazana huko serikalini na ndani ya chama cha CCM, mkijifanya nyinyi ndio wajuaji!
 
wengi waiting ni form four failures... wachache wameungaunga wakafika chuo. Wendi nodded matusi, piga, wekandani!!! Hamna intelijensia ingine
 
Sina uhakika kama IGP wetu alishashuhudia Ugaiďi wowote before.. kama angekuwa yeye ni IGP wa kenya muda huo angejificha chini ya godoro kwamba ana homa kali.

Watanzania - huu ndiyo ugaidi....msiombe ufike nchini kwetu mtalia bila kupigwa.. waambieni wamwachie Mh Mbowe ..ni aibu kuendelea kumshikilia kwa kesi ya UGAIDI...Ugaidi ufadhiliwe kwa laki 6 kweli watanzania???? Cheki mziki huu hapa dadadeq.

 
CCM Ishafika mwisho
Vile CCM wanajifanya kuupiga mwingi kupitia mgongo wa Polisi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi wakati wameshapitwa na wakati na pumzi ilishakata siku nyingi sana!😁😁😁
AA3bhl.jpg
 
Gaid
Kwanza wewe ni mjinga, unayetaka kueneza ujinga kwa watu wasio wajinga, utaweza?

Gaza, hapo hao wanaopigania uhuru wao wewe unawaita magaidi? hivi unazo akili timamu kichwani?

Halafu unataka wanayofanya Israel ndiyo tuyakubali hapa hata kama wanafanya uhalifu?
Na inawezekana watu kama wewe ndio mliojazana huko serikalini na ndani ya chama cha CCM, mkijifanya nyinyi ndio wajuaji!

Gaidi Hamza sheikh Mohamed aka gaidi manyama uzembe afatiliwe ajulikane mdhamini na aliye mpeleka kusoma Misri ni nani?

Wako wanao walaumu polisi eti kutaja neno gaidi litaharibu utalii na blabla nyengine. Utalii mumeuharibu wenyewe kwa kuwatishia watalii na mibarakoa yenu khalafu sasa mgeuke kutaka kuwaangushia polisi jumba bofu!!!

Muende Kenya mkatafute maarifa ya kunyanyua utalii tumekuwa sawa na wao sasa. Tunaenda na ulimwengu unavyo enda.
 
Gaid

Gaidi Hamza sheikh Mohamed aka gaidi manyama uzembe afatiliwe ajulikane mdhamini na aliye mpeleka kusoma Misri ni nani?

Wako wanao walaumu polisi eti kutaja neno gaidi litaharibu utalii na blabla nyengine. Utalii mumeuharibu wenyewe kwa kuwatishia na mibarakoa yenu khalafu sasa mgeuke kutaka kuwaangushia polisi jumba bofu!!!

Muende Kenya mkatafute maarifa ya kunyanyua utalii tumekuwa sawa na wao sasa. Tunaenda na ulimwengu unavyo enda.
Nimekwisha sema wewe ni 'mjinga', usitegemee mimi ndiye niwe wa kukuondoa ujinga wako. Sina muda wa kupoteza.
 
Tafuta habari za Gazza ujifunze kitu kwenye vita vya ugaidi kupitia Israel inavyoshughulikia magaidi hapo Gazza. Wakisha muua gaidi husika wanahakikisha vitega uchumi vyote na mali nyingine alizozichuma kupitia ugaidi zikiwemo za familia yake zina sambaratishwa. Ugaidi ni biashara inayo singizia kumpigania Allah kama agenda ya kuhalalisha uovyo unaombatana na biashara hii.
Kwa hiyo umehukumu Hamza ni gaidi?Ukizulumiwa na kudai chako unakuwa gaidi?Ukidai katiba mpya unakuwa gaidi?Tikisa huo mbichwa wako.Akili imeganda.
 
Back
Top Bottom