Tanzania Nchi Yetu Sote
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 505
- 872
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka imechukuliwa hivyo ujue kila kitu kiko sawa acha ujuaji sana. Watu wanajua kinachofanyika.Sasa intel zinavuja mapema coz ya ujuaji mwingi mtu unachukua picha za video ndani ya gari ukiwa na Mwenyekiti huu ni uzwazwa, no top secret at all kesho CDM mnatafuta mchawi, shiiiit
sielewi kuna nini hapo cha kubishania, ukisoma heading na unachokiano kwenye clip ni kweli maana naona gari la polisi limewasha kimulimuli lipo mbele, no matter clip imechukuliwa nje au ndani ya gari au kwa helikopta au satelite ukweli uko wazi. mambo mengine siyo ya kubishana, unajishusha!!!Sasa intel zinavuja mapema coz ya ujuaji mwingi mtu unachukua picha za video ndani ya gari ukiwa na Mwenyekiti huu ni uzwazwa, no top secret at all kesho CDM mnatafuta mchawi, shiiiit
Sijabisha escort ya polisi ni jukumu lao la msingi na kikatiba nimegusia picha ya ndani kwenye gari mkuu uvujaji wa mambo ya ndani kwenye gari hii haipo sawa sidhani hata iwapo M/kiti aliridhia kuchukuliwa kwa video hii coz kwanza imepigwa kwa kificho fulani.sielewi kuna nini hapo cha kubishania, ukisoma heading na unachokiano kwenye clip ni kweli maana naona gari la polisi limewasha kimulimuli lipo mbele, no matter clip imechukuliwa nje au ndani ya gari au kwa helikopta au satelite ukweli uko wazi. mambo mengine siyo ya kubishana, unajishusha!!!
duuh!!!!, sikujua kama kupiga picha ukiwa ndani ya gari ni makosa, kwa kweli nawza ni wapi kosa limefanyika nakosa jibu. kwani m/kiti akiwa ndani ya gari kuna siri?!?, na kama lipo unaamini wangepiga picha?1?, umeona nini kibaya hapo kilikuwa kinafanyika hakikupaswa kwenda public!!!Sijabisha escort ya polisi ni jukumu lao la msingi na kikatiba nimegusia picha ya ndani kwenye gari mkuu uvujaji wa mambo ya ndani kwenye gari hii haipo sawa sidhani hata iwapo M/kiti aliridhia kuchukuliwa kwa video hii coz kwanza imepigwa kwa kificho fulani.
Huwezi jua mkuu yaache kama yalivyo kila mtu na fani yake, mimi ni mpiga picha hapa kemondo Grand hallduuh!!!!, sikujua kama kupiga picha ukiwa ndani ya gari ni makosa, kwa kweli nawza ni wapi kosa limefanyika nakosa jibu. kwani m/kiti akiwa ndani ya gari kuna siri?!?, na kama lipo unaamini wangepiga picha?1?, umeona nini kibaya hapo kilikuwa kinafanyika hakikupaswa kwenda public!!!