Hana cheo chochote bali huyo ni mkimbizi tu kutoka Burundi ndiyo maana anajikomba kwenye ccm.Mkuu samahani kama ntakuwa nimekukwaza,hivi kwenye hii serikali ya awamu ya tano una kacheo gani mkuu,maana so kwa roho mbaya uliyonayo.
Mkifanya fujo mtadhibitiwa tuu...huo ndo ukweli hata kama unakuuma na huutaki
Wanajidanganya kuwa hawaonekani wanavyo hamasisha vuruguThe world is watching how you try hard to bring chaos
Kwanini hayo mazoezi yao wasifanye kimyakimya,? hii Inaonyesha hawawezi kushindana na nguvu ya umma!Inasikitisha sana makamanda wa jeshi la polisi wanasema wazi kuna baadhi wanasiasa wameanza kutoa kauli...... huenda wanalenga kauli za Maalimu Seifu kusema kufuatia dhuluma kuenguliwa wagombea ACT Pemba na kwingineko.
NEC na ZEC watoe haki Watanzania tufanye maamuzi katika sanduku la kura. Polisi ,mabomu,risasi na mabavu vitabomoa zaidi amani na umoja wa taifa letu.
Jitambieni tu ujingamwaka 2000 mwenzao alichinjwa kama kuku huko pemba, wasifikiri pemba ni buguruni
ipo sikuJeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.
Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.
Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Msafisha vyoo wa Lumumba huyo..mpuuze tu!Mkuu samahani kama ntakuwa nimekukwaza,hivi kwenye hii serikali ya awamu ya tano una kacheo gani mkuu,maana so kwa roho mbaya uliyonayo.
Maalim ashatoa muelekeoNaam. Imefika hatua Wanzanzibar inabidi waongee lugha itakayoeleweka.
Vitisho tu hivyo havifui dafu. Hiyo ndio mbinu ya mwisho nayo imessha feli.Inasikitisha sana makamanda wa jeshi la polisi wanasema wazi kuna baadhi wanasiasa wameanza kutoa kauli...... huenda wanalenga kauli za Maalimu Seifu kusema kufuatia dhuluma kuenguliwa wagombea ACT Pemba na kwingineko.
NEC na ZEC watoe haki Watanzania tufanye maamuzi katika sanduku la kura. Polisi ,mabomu,risasi na mabavu vitabomoa zaidi amani na umoja wa taifa letu.
Ikumbusheni serikali na vyombo vyake kutenda haki!Likitokea la kutokea hakuna atakayekuwa salama!Wapinzani acheni fujo mtaumia. Msicheze na serikali
Nchi yangu wapi inakwendaJeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.
Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.
Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Na wewe utakuwa wapi? Ahera au?Nawaonea huruma hao viongozi watakavyo kuwa wanasota pale the Hague
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali haijawahi kuushinda umma, subirini awamu hii tutawathibitishia hilo ibeni Kura tena kama mlivyozoeaWapinzani acheni fujo mtaumia. Msicheze na serikali