Hata uteuzi wake uliacha maswali kwa wenye akili kwani mmesahau?Naona Sirro amekwenda Zanzibar kuchochea vurugu Badala ya kuleta Amani, Huyu IGP ana kasoro nyingi sana....imagine anafika kule neno lake la Kwanza ni kwamba nimekuja kuwaambia "nitawagonga", huyu ni mzima au ana mental disorder flan hatuielewi?
Nadhani Huyu IGP pia ndo aliyeanzisha kitu kinachoitwa Jeshi la Akiba ambacho kimesambaratishwa na Lissu jana, Naomba Mamlaka zimwondoe Sirro Unguja na Pemba haraka ataleta maafa!
Jeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.
Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.
Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Wapinzani acheni fujo mtaumia. Msicheze na serikali
ICC mbali tutatangulizana ahera kwanza maana kuna wajinga wajiona wana haki ya kuumiza na kuua wengine wanasahau hata wao wanawezakudedishwa mda na saa yeyote JIANDAENI MWAKA HUU HATUTANII
Wao wanajiona wapo karibu na MunguICC mbali tutatangulizana ahera kwanza maana kuna wajinga wajiona wana haki ya kuumiza na kuua wengine wanasahau hata wao wanawezakudedishwa mda na saa yeyote JIANDAENI MWAKA HUU HATUTANII
Dawa ya moto ni moto na anaye dhani kuwa dawa ya moto ni maji basi atakuwa ni mjingaWapemba na Waunguja mjiandae nanyi. Kutakuwa na vifo vingi sana ambavyo labda hatujawahi kuviona Nchini.
Nchi za Wafadhili na Mashirika ya Kimataifa zitaweka vikwazo vya kiuchumi na kuzitenga Serikali haramu za Bara na Visiwani.
Inaelekea kuwa miongoni mwa nchi maarufu sana duniani kwa kutajwa tajwa sana kwenye viunga vya uholanziNchi yangu wapi inakwenda
Safi kabisa wapuuzi wote watakiona
Wazanzibar siyo watu wa kuogopa virungu, mabuti ya polisi au risasi. Wao wanaamini wakifa huku wanatetea haki wanakwenda peponi sasa chagua mwenyewe uko tayari kuua wangapi ili kupora haki yao au la basi wape haki yao hutoona unywele wa mtu hata mmoja ukiguswa!
Serikali ndo inawapelekea fujo Wazanzibari
Safi kabisa kwao Polisi...washenzi wenye nia ya kujaribu mamlaka (dola) wakawadhibiti
Bara nyie wote ma keyboard warriors hamtaweza chochote zaidi ya kulia kwenye keyboard tuCCM inaangamia kwa viongozi wake kukosa maarifa!
Ya 2001 yanaweza kujirudia, na safari hii yanaweza kuwa worse, but they should know that, the world is watching.
Bara nako ni swala la muda tu maana walioenguliwa mpaka sasa hatima yao haijulikana.
Wapinzani wanataka kugongwa na Siro,wwe waache watakiona cha Moto!!Wapinzani acheni fujo mtaumia. Msicheze na serikali
Nyinyi CDM ndiyo mnataka kutuletea Utawala wa Ovyo kabisa!!Utawala huu wa ki dikteta tunaenda kuufuta mwezi Oktoba.
Wwe unaonekana unapenda kugongwa na Siro!Maandamano yatakuwepo kama kawaida.
Wewe mwenyewe ni hovyo tuNyinyi CDM ndiyo mnataka kutuletea Utawala wa Ovyo kabisa!!
Mwendo ni uleule tu ni Kugongwa tu kwa kila anaeleta fujo!!Wanajidanganya kuwa hawaonekani wanavyo hamasisha vurugu
Hapo hapo wanataka mamlaka ziwaache (waogopwe)
Huyo beberu wenu Amsterdam anawadanganya, HAKUNA kiongozi wa Tanzania atakaye shtakwa huko The Hague.Nawaonea huruma hao viongozi watakavyo kuwa wanasota pale the Hague
Sent using Jamii Forums mobile app
Watashitakiwa na kufungwaHuyo beberu wenu Amsterdam anawadanganya, HAKUNA kiongozi wa Tanzania atakaye shtakwa huko The Hague.