Jeshi la Polisi Zanzibar latoa onyo kwa viongozi wa siasa kutumia vibaya uhuru wa kujieleza

Jeshi la Polisi Zanzibar latoa onyo kwa viongozi wa siasa kutumia vibaya uhuru wa kujieleza

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Jeshi la Polisi Zanzibar limewatahadharisha na kuwaonya baadhi ya viongozi wa siasa kuacha kutumia uhuru wa kujieleza kwa kutoa kauli za kebeghi kwa viongozi jambo ambalo linaingilia faragha ya mtu na kuhatarisha uvunjifu wa amani visiwani Zanzibar

Kamishna wa Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad ametoa onyo hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ziwani Mjini Unguja

CP. Hamad amesema kushamiri kwa kauli hizo kwa viongozi wa siasa kunapelekea kuvunja sheria za nchi na uvunjifu wa amani hivyo Jeshi la Polisi halitosita kumchukulia hatua mtu yoyote atakayefanya makosa hayo.

Soma Pia: Dk. Nchimbi: Wana CCM na Wanasiasa wa Vyama vingine tuchunge ndimi zetu

Aidha amesema tayari Jeshi hilo limeshaanza kuchukua hatua huku akisisitiza kuwa wameshaandaa jopo la wataalamu wa kisheria ili kupitia video zote za mikutano ya kisiasa yanayofanyika ili kubaini kama kuna ukiukwaji wowote wa kisheria.
 
Jeshi la Polisi Zanzibar limewatahadharisha na kuwaonya baadhi ya viongozi wa siasa kuacha kutumia uhuru wa kujieleza kwa kutoa kauli za kebeghi kwa viongozi jambo ambalo linaingilia faragha ya mtu na kuhatarisha uvunjifu wa amani visiwani Zanzibar

Kamishna wa Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad ametoa onyo hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ziwani Mjini Unguja

CP. Hamad amesema kushamiri kwa kauli hizo kwa viongozi wa siasa kunapelekea kuvunja sheria za nchi na uvunjifu wa amani hivyo Jeshi la Polisi halitosita kumchukulia hatua mtu yoyote atakayefanya makosa hayo.

Aidha amesema tayari Jeshi hilo limeshaanza kuchukua hatua huku akisisitiza kuwa wameshaandaa jopo la wataalamu wa kisheria ili kupitia video zote za mikutano ya kisiasa yanayofanyika ili kubaini kama kuna ukiukwaji wowote wa kisheria.
IMG-20240819-WA0029.jpg
 
Hili jeshi nalo liko kisiasa kauli za kisiasa waachiwe wanasiasa kwahiyo litakuwa jeshi la kuingilia kila kauli itokoyo kwa wanasiasa wasiasa waachiwe uwanja wa siasa
 
Unguja, Zanzibar

KAMISHNA WA POLISI ZANZIBAR AVITOLEA UVIVU VYAMA VYA SIASA


View: https://m.youtube.com/watch?v=zucQLkVUJDo

kamishna aelezea kusuhu hali ya kisiasa ilivyo na kutoa rai kwa chama tawala kongwe na vyama vingine vya siasa juu ya kauli zao vyama vikifanya shughuli za kisiasa kwamba ... kuingilia faragha za watu wengine ...kauli za kuvunjiana heshima ...

Kamishina wa polisi (CP) Hamad Khamis Hamad kamishna wa Polisi Zanzibar amechukua nafasi hiyo kuwataka makamanda wote wa mikoa ya Zanzibar kuchukua hatua madhubuti kuanzia sasa ...
 
Back
Top Bottom