Jeshi la Uhamiaji limeumbuka kiutendaji, CDF-JWTZ ameeleza wazi waliyoshindwa kueleza

Kwani unafikiri serikali hailifahamu hilo? Tatizo utekelezaji wake utafumua mengi mabaya ambayo vigogo wananufaika navyo!
 
Mtanganyika ni nani? Nini viashiria vya uTanganyika?
 
Kwani unafikiri serikali hailifahamu hilo? Tatizo utekelezaji wake utafumua mengi mabaya ambayo vigogo wananufaika navyo!
Yafumuliwe na liwalo na liwe.
Hadi chombo kikuu cha ulinzi na usalama kuliweka wazi hadharani ujue usalama wetu unaanza kuwekwa rehani.
 
U
Sehemu walikowekwa jinsia Ile nchi nzima ni shida kuanzia wakurugenzi wa Halmashauri hadi mawaziri.
Hadi bibi yule

CDF kawaumbua sana. Ukiwaona unaweza kudhani wako serious kumbe hawana kazi za kufanya kabisa. Wanakula kodi za wananchi bure.

Suala la utoaji uraia lisimamishwe mara moja.
 
Hawa watu wako kazini siku nyingi sana na ndiyo maana mambo mengi hayaendi. Miradi mingi mikubwa, mimkakati mingi ya tz haifanikiwi.
 
Hawa watu wako kazini siku nyingi sana na ndiyo maana mambo mengi hayaendi. Miradi mingi mikubwa, mimkakati mingi ya tz haifanikiwi.
Ifanywe kampeni maalum kuwaondoa.
Wakati wa vita kuu ya pili, Marekani ilishambuliwa na Japan Pearl Hourbour.
Ingawaje hatua iliyochukua Marekani ilikuwa ya kishenzi, lakini ilowakusanya wajapani wote mijini na kuwaweka chini ua ulizi na kwenye kambi maalum.
Tusisubiri haya yatupate na sisi.
 
Migration wao ni rushwa ., rushwa na ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…