Jeshi la Urusi kuwapokea Wanafunzi Watanzania waliopo Ukraine, wapewa maelekezo maalum ili warudishwe Tanzania

Jeshi la Urusi kuwapokea Wanafunzi Watanzania waliopo Ukraine, wapewa maelekezo maalum ili warudishwe Tanzania

Ukiwa mbabe kwa watu wengi mwishowe unajikuta kila mtu anataka upigwe! Naona dalili USA inapoteza ushawishi wake dunian. Ni kama ina marafik wanafik tu ili wapate riziki kwake, waishi.
Watz wengi kwa level ya tunaopita vijiwen wako na Putin haijarishi kwanini. Kisa russia iko kinyume na USA!
US ingekaa kileleni muda mrefu sana sema tu walipoanza kubrand na kuuhubiri ubepari wao kama mungu duniani na kulazimisha tuabudu ubepari na demokrasia ndio ikawa mwanzo wa anguko lao. Wa kuabudiwa ni Mungu tu.
 
Tanzania ilitumia akili kubwa sana juzi kwenye baraza la usalama UN kwa kujizuia kupiga kura. Kenya, Uganda, na Rwanda waliamua kupiga kura dhidi ya Urusi kama vile hakuna wanafunzi wao huko Ukraine.

Naamini uamuzi wa kutounga mkono upande wowote kwenye hiyo vita umesaidia wanafunzi wa Kitanzania kuwa salama kwa Warusi.

Vv
Umechanganya kwa East Africa Uganda,, Tanzania,,Burundi,,South Sudan hawakupiga kura ya Ndio Wala hapana walibaki katikati
 
Tanzania ilitumia akili kubwa sana juzi kwenye baraza la usalama UN kwa kujizuia kupiga kura. Kenya, Uganda, na Rwanda waliamua kupiga kura dhidi ya Urusi kama vile hakuna wanafunzi wao huko Ukraine.

Naamini uamuzi wa kutounga mkono upande wowote kwenye hiyo vita umesaidia wanafunzi wa Kitanzania kuwa salama kwa Warusi.

Vv
Umechanganya kwa East Africa Uganda,, Tanzania,,Burundi,,South Sudan hawakupiga kura ya Ndio Wala hapana walibaki katikati
 
Ubalozi wa Tanzania uliopo Urusi umetoa taarifa juu ya njia ambazo wanafunzi Watanzania walipo katika Chuo cha Taifa cha Sumy Nchini Ukraine wanazotakiwa kutumia pamoja na namba za simu kwa ajili ya mawasiliano wakati watakapokuwa wanaelekea sehemu salama kupokelewa...
tungepiga kura dhidi yao juzi, watoto wetu wangezikwa hai. though wamagaribi watakuwa wamenuna mno na sijui misaada waliyomwahidi maza kama watatoa baada ya kuona msimamo wetu ule.
 
Ukiwa mbabe kwa watu wengi mwishowe unajikuta kila mtu anataka upigwe! Naona dalili USA inapoteza ushawishi wake dunian. Ni kama ina marafik wanafik tu ili wapate riziki kwake, waishi.
Watz wengi kwa level ya tunaopita vijiwen wako na Putin haijarishi kwanini. Kisa russia iko kinyume na USA!
Watanzania wengi wa mtaani hawana mchango wowote kwa USA, wengi wao wanatumia dawa za Ukimiwi zilizofadhiliwa na USA kupitia PEPFAR
 
Busara na hekma ya kutoegemea upande wowote zimeanza kulipa.
vijana wetu wanarudi salama n
Washauri wa Putin,imekuwa rahisi kumshawishi,ameanza kulegeza msimamo kidogo.
 
Tanzania ilitumia akili kubwa sana juzi kwenye baraza la usalama UN kwa kujizuia kupiga kura. Kenya, Uganda, na Rwanda waliamua kupiga kura dhidi ya Urusi kama vile hakuna wanafunzi wao huko Ukraine.

Naamini uamuzi wa kutounga mkono upande wowote kwenye hiyo vita umesaidia wanafunzi wa Kitanzania kuwa salama kwa Warusi.

Vv
Uganda ilifanya kama Tanzania
 
Wanafunzi wapite wakiwa wamebeba bendera za Tanzania

Sijui ubalozi utakwenda kugawa bendera za Tanzania au wanajisemesha tu ?
 
WATANZANIA WANAFUNZI WALIOPO NCHINE UKRAINE WAMUOMBA RAIS MAMA SAMIA SULUHU AWASAIDIE KUTOKA UKRAINE.




Download
720
 
Mtu Mweusi anavyo pigwa na Watu wa Ukraine .


Download
720
 
Ubalozi wa Tanzania uliopo Urusi umetoa taarifa juu ya njia ambazo wanafunzi Watanzania walipo katika Chuo cha Taifa cha Sumy Nchini Ukraine wanazotakiwa kutumia pamoja na namba za simu kwa ajili ya mawasiliano wakati watakapokuwa wanaelekea sehemu salama kupokelewa...
Wameshablokiwa pia Hakuna kutoka
 
BREAKING: WANAFUNZI 11 WATANZANIA WAOKOLEWA UKRAINE, WAFANIKIWA KUINGIA URUSI, WAKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI URUSI.

 
Back
Top Bottom