Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
US ingekaa kileleni muda mrefu sana sema tu walipoanza kubrand na kuuhubiri ubepari wao kama mungu duniani na kulazimisha tuabudu ubepari na demokrasia ndio ikawa mwanzo wa anguko lao. Wa kuabudiwa ni Mungu tu.Ukiwa mbabe kwa watu wengi mwishowe unajikuta kila mtu anataka upigwe! Naona dalili USA inapoteza ushawishi wake dunian. Ni kama ina marafik wanafik tu ili wapate riziki kwake, waishi.
Watz wengi kwa level ya tunaopita vijiwen wako na Putin haijarishi kwanini. Kisa russia iko kinyume na USA!
Umechanganya kwa East Africa Uganda,, Tanzania,,Burundi,,South Sudan hawakupiga kura ya Ndio Wala hapana walibaki katikatiTanzania ilitumia akili kubwa sana juzi kwenye baraza la usalama UN kwa kujizuia kupiga kura. Kenya, Uganda, na Rwanda waliamua kupiga kura dhidi ya Urusi kama vile hakuna wanafunzi wao huko Ukraine.
Naamini uamuzi wa kutounga mkono upande wowote kwenye hiyo vita umesaidia wanafunzi wa Kitanzania kuwa salama kwa Warusi.
Vv
Umechanganya kwa East Africa Uganda,, Tanzania,,Burundi,,South Sudan hawakupiga kura ya Ndio Wala hapana walibaki katikatiTanzania ilitumia akili kubwa sana juzi kwenye baraza la usalama UN kwa kujizuia kupiga kura. Kenya, Uganda, na Rwanda waliamua kupiga kura dhidi ya Urusi kama vile hakuna wanafunzi wao huko Ukraine.
Naamini uamuzi wa kutounga mkono upande wowote kwenye hiyo vita umesaidia wanafunzi wa Kitanzania kuwa salama kwa Warusi.
Vv
kwahiyo?!!!!!!Nadhani kama bado tungekuwa chini ya Chuma JPM basi tungesema wazi wazi msimamo wetu.
tungepiga kura dhidi yao juzi, watoto wetu wangezikwa hai. though wamagaribi watakuwa wamenuna mno na sijui misaada waliyomwahidi maza kama watatoa baada ya kuona msimamo wetu ule.Ubalozi wa Tanzania uliopo Urusi umetoa taarifa juu ya njia ambazo wanafunzi Watanzania walipo katika Chuo cha Taifa cha Sumy Nchini Ukraine wanazotakiwa kutumia pamoja na namba za simu kwa ajili ya mawasiliano wakati watakapokuwa wanaelekea sehemu salama kupokelewa...
Hatuna undugu wowote na Urusi, ndugu zetu ni Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya, Zambia, Malawi, DRC na Msumbiji.Safi sana udugu wetu na Urusi uko dhahiri shahiri
Watanzania wengi wa mtaani hawana mchango wowote kwa USA, wengi wao wanatumia dawa za Ukimiwi zilizofadhiliwa na USA kupitia PEPFARUkiwa mbabe kwa watu wengi mwishowe unajikuta kila mtu anataka upigwe! Naona dalili USA inapoteza ushawishi wake dunian. Ni kama ina marafik wanafik tu ili wapate riziki kwake, waishi.
Watz wengi kwa level ya tunaopita vijiwen wako na Putin haijarishi kwanini. Kisa russia iko kinyume na USA!
Busara na hekma ya kutoegemea upande wowote zimeanza kulipa.
vijana wetu wanarudi salama n
Washauri wa Putin,imekuwa rahisi kumshawishi,ameanza kulegeza msimamo kidogo.
Uganda ilifanya kama TanzaniaTanzania ilitumia akili kubwa sana juzi kwenye baraza la usalama UN kwa kujizuia kupiga kura. Kenya, Uganda, na Rwanda waliamua kupiga kura dhidi ya Urusi kama vile hakuna wanafunzi wao huko Ukraine.
Naamini uamuzi wa kutounga mkono upande wowote kwenye hiyo vita umesaidia wanafunzi wa Kitanzania kuwa salama kwa Warusi.
Vv
Hao jamaa na Wachina ni marafiki wa Tanzania haswa.Safi sana udugu wetu na Urusi uko dhahiri shahiri
Wameshablokiwa pia Hakuna kutokaUbalozi wa Tanzania uliopo Urusi umetoa taarifa juu ya njia ambazo wanafunzi Watanzania walipo katika Chuo cha Taifa cha Sumy Nchini Ukraine wanazotakiwa kutumia pamoja na namba za simu kwa ajili ya mawasiliano wakati watakapokuwa wanaelekea sehemu salama kupokelewa...
Amekosa nini huyu?
Russia should kill them all matherfuckers. No mercy for Ukrainian shit