Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

Mwambulukusi awapeleke mahakamani na hao na aanze kuwaongea hovyo. Si shujaa yeye.
 
Kwa mara ya kwanza naunga mkono Mwabukusu.Hii tabia ya Baadhi ya taasisi au cadre kujifanya ziko Juu ya sheria ikome mara Moja hususani hao JWTZ &TISS.

Kila taasisi itekeleze wajibu wake kwa.mujibu wa sheria ,hakuna raia aloye Juu ya mwingine Kwa kisingizio Cha mwanajeshi sijui Tiss na blaa blaa kama hizo.
 
Ila jamani gharama za maisha zimepanda mno, mafuta juu, vyakula bei navyo juu, dola imepanda, corona ilitutisha sana, watu wana ugumu mno, sasa na JWTZ itutie hofu hivyo jamani, tutaishi vipi lkn? Mwananchi wa kawaida si atakufa kwa stress na hofu kila kona, uanze kupekuliwa nyumba kwa nyumba, haya maisha gani? Mkuu wa Jeshi azuie hii hofu maana JWTZ wakiingia mitaani itazua taharuki sana sana, waacheni watu wapambane na maisha sio kupambana na JWTZ..
 
Jeshi linapaswa kuzagaa mtaani pale ambapo wanaona kuna external threat au wenyewe wameamua kuchukua nchi. Sasa kweli unakatiza mitaa ya mbagala kusaka sare za jeshi?
 
Hizo kwenye mahakama za kijeshi. Raia wa kawaida anaweza kushitakiwa?
Kwenye huu uzi, nimeona wafrika walivyo wajinga sana. Afrika ni bara giza
Kuwa na sare za jeshi, ni uvunjifu wa sheria na anayeweza kukushitaki ni polisi na siyo JWTZ.
Sawa, hao wanajeshi wanatumia marungu? Mbona majambazi au ukiwa na bunduki wanakufuata polisi na siyo jeshi?
Hayo ndiyo matokeo kuwa na wanajeshi wenye elimu ya darasa la 7, na form failure
Upuuzi mtupu. Polisi ndiyo wanatakiwa wafanye kazi hiyo
 
Wamkamate aliyezipoteza kama ziliibiwa kwenye store yao
Akamatwe aliye import na kuzipitisha bandarini huku wakijua ni makosa
 
Military police wa JWTZ ni kwa ajili ya raia?
 
Jeshi linapaswa kuzagaa mtaani pale ambapo wanaona kuna external threat au wenyewe wameamua kuchukua nchi. Sasa kweli unakatiza mitaa ya mbagala kusaka sare za jeshi?
Afrika wajinga wengi sana. Huyo atakuumiza akili.
Kusaka sare za jeshi, ni kazi ya polisi na siyo jeshi.
Ukiwa na bunduki kwanini wanakufuata polisi na siyo jeshi la wananchi?
Jwtz imekosa kazi.
 
Huyo mpuuzi jeshi halifanyi ujinga ukiona hivyo ujue kuna tishio kubwa sana la usalama, na toka matukio ya kibiti Police haiaminiki tena kwenye mambo nyeti, undercover police wasaliti walikuwa wengi sana
Nyie wote inaonekana kama mmesoma sana ni la saba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…