Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanagawa ubwabwa keshoView attachment 2027376Ni mara chache Jeshi letu la Wananchi kuja na tamko zito kama hili kunani? Je ni kuhusu ugaidi unawosemwa katika mitandao ya kijamii? ama tuvute subira hadi hiyo kesho saa nne (4) asubuhi kujua ni habari hiyo ya kustua.
Tamko kama watapeleka majeshi kongo[emoji23][emoji23]Wenye fununu wafunguke.
Ile polisi wamewatia vidole JW; only in TanzaniaItakuwa issue ya makomandoo wao kuteswa na vijana wa Siro
I smell something fishy with Top Madam katika uongozi wote wa awamu ya tano aliishi na Hayati kwa unafiki mkubwa embu ngoja tutege masikio, huwenda pia akatuhabarisha kuhusiana na masuala ya UGAIDI maana ukanda wetu umekuwa katika mashambulizi yakustukiza kutoka kwa hawa MAGAIDI uchwara.Huenda Kesho CDF Jenerali Mabeyo anataka sasa kutueleza Watanzania SIRI iliyokuweko katika Bahasha Maalum aliyokabidhiwa na Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli baada ya Kumaliza kumuelezea Rais Samia Suluhu Hassan.
Yuko wapi Moses Lijenje?mmeambiwa kesho ndio tamko litatoka....tulieni msubiri kesho tamko litolewe, kama wewe ni mwandishi wa habari jongea eneo la tukio...
Endelea kuota. Hakuna mapinduzi hutokea kwenye tamko tena lililoandaliwa ukumbini na waandishi wakiwepo. Mapinduzi yatokee kwa kutanguliwa na taarifa ya kujiandaa?Tamko la kuokoa jahazi, lisizame maana manahodha wamekuwa wengi, mbele ya jahazi, baada ya kuketi nyuma kutazama mwelekeo wa jahazi liendako.
Makamanda bwana eti unamwita mwenzio raia kwa hiyo we mkimbizi
Haiwezekani!Jamaa wamekatwa mishahara mwezi huu
Hujui nafasi ya CDF wewe. Kingai ndio kenge gani kwenye vyombo vya ulinzi na usalama? Kutajwatajwa pale mahakamani si hata mgambo anaweza. Uliwahi ona wapi CDF anaitwa mahakamaniHakuna mwanajeshi mwenye ubavu mbele ya Kingai, Kingai ni zaidi ya CDF
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna mfanyakazi kakatwa mshahara haijalishi ni mwalimu au mwanajeshi. UnaotaJamaa wamekatwa mishahara mwezi huu
naona unatafuta kupopolewa na Le Mbebez Yaani wewe King Kong unapenda bifu Sana,ngoja aje mi simo ujue shauri zako usipende kifananisha bamia na hogo la jhang'ombe ni vitu viwili tofautiMwanajeshi tusi kubwa ni raia yaani ukitaka Mwanajeshi akulipue bomu muite wewe RAIA.
CHukulia kipanga anavyomgrade Kilaza ,chukulia Tajiri anavyomgrade Masikini ,Chukulia Mandingo anavyomgrade Le Mutuz the same as Mwanajeshi anavyomgrade raia.