Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kutoa Tamko Maalumu 30 Novemba, 2021

Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) kutoa Tamko Maalumu 30 Novemba, 2021

Huenda Kesho CDF Jenerali Mabeyo anataka sasa kutueleza Watanzania SIRI iliyokuweko katika Bahasha Maalum aliyokabidhiwa na Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli baada ya Kumaliza kumuelezea Rais Samia Suluhu Hassan.
I smell something fishy with Top Madam katika uongozi wote wa awamu ya tano aliishi na Hayati kwa unafiki mkubwa embu ngoja tutege masikio, huwenda pia akatuhabarisha kuhusiana na masuala ya UGAIDI maana ukanda wetu umekuwa katika mashambulizi yakustukiza kutoka kwa hawa MAGAIDI uchwara.
 
Nilshangaa tu..Jeshi kukaa kimya kipindi kile cha uchaguzi huku mabegi ya Kura yakiwa mgongoni mw Maplease... nilishangaa san na mpaka leo nashangaa bado!!
 
Kaeni Kwa kutulia kesho tunaenda kutoa tangazo maalumu la miaka 60 ya uhuru lengo kubwa ni kuzungumzia kuhusu kustaafu Kwa Babu Tanganyika ili alipwe mafao wajukuu tugawane,
Kila mtu atembee na 💯
Kama utaenda kunywa Bia sawa,ukigeuza mtaji ufungue biashara sawa,ukahonge pisi Kali is up to yo,
Keep waiting tomorrow tunaenda kugawana mbao

NB
Najua Ndugai akipata mgao wake kama wajukuu wengine mfano wakina sie ambao tumeplan kulima parachichi huko njombe
Ila mwenzetu tunajua atatimba zake Galilaya kula Bata maana akili zake anazijua mwenyewe!
😁😁😁😁
 
Tamko la kuokoa jahazi, lisizame maana manahodha wamekuwa wengi, mbele ya jahazi, baada ya kuketi nyuma kutazama mwelekeo wa jahazi liendako.
Endelea kuota. Hakuna mapinduzi hutokea kwenye tamko tena lililoandaliwa ukumbini na waandishi wakiwepo. Mapinduzi yatokee kwa kutanguliwa na taarifa ya kujiandaa?
 
Makamanda bwana eti unamwita mwenzio raia kwa hiyo we mkimbizi

Mwanajeshi tusi kubwa ni raia yaani ukitaka Mwanajeshi akulipue bomu muite wewe RAIA.

CHukulia kipanga anavyomgrade Kilaza ,chukulia Tajiri anavyomgrade Masikini ,Chukulia Mandingo anavyomgrade Le Mutuz the same as Mwanajeshi anavyomgrade raia.
 
Hakuna mwanajeshi mwenye ubavu mbele ya Kingai, Kingai ni zaidi ya CDF

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hujui nafasi ya CDF wewe. Kingai ndio kenge gani kwenye vyombo vya ulinzi na usalama? Kutajwatajwa pale mahakamani si hata mgambo anaweza. Uliwahi ona wapi CDF anaitwa mahakamani
 
Mwanajeshi tusi kubwa ni raia yaani ukitaka Mwanajeshi akulipue bomu muite wewe RAIA.

CHukulia kipanga anavyomgrade Kilaza ,chukulia Tajiri anavyomgrade Masikini ,Chukulia Mandingo anavyomgrade Le Mutuz the same as Mwanajeshi anavyomgrade raia.
naona unatafuta kupopolewa na Le Mbebez Yaani wewe King Kong unapenda bifu Sana,ngoja aje mi simo ujue shauri zako usipende kifananisha bamia na hogo la jhang'ombe ni vitu viwili tofauti
You know???????
 
Back
Top Bottom